• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ardhi na Mipango Miji

MAJUKUMU YANAYOTEKELEZWA NA IDARA YA MAZINGIRA NA USAFISHAJI .


  •     Kusimamia usafi na uhifadhi wa Mazingira katika maeneo yote ya mipaka ya Jiji la Dodoma ikiwemo udhibiti wa uchafuzi wa Mazingira katika makazi,viwandani, mahotelini, maeneo mbalimbali ya kibiashara,nk,kudhibiti uharibifu na uchafuzi wa vyanzo vya maji, misitu ardhi ,hewa,na rasilimali nyinginezo za mazingira.
  •     Kukusanya na kuchambua Takwimu na taarifa mbalimbali za Usafi wa Mazingira taarifa za Usimamizi na Hifadhi ya Mazingira.
  •     Kutoa elimu Kuhusiana na Usafi wa Mazingira,elimu ya Hifadhi ya Mazingira kwa wadau mbalimbali.
  •     Kufanya tafiti za kioperesheni kwenye wilaya ilikuweza kutambua na kupendekeza hatua za kudhibiti matatizo mbalimbali ya     usafi,Usimamizi na Hifadhi ya Mazingira.
  •     Kufuatilia utekelezaji wa sera na sheria zinazohusiana na usafi na usimamizi wa Mazingira. Sheria na sera hizo ni sheria ya afya ya jamii 2009 (Public health act 2009),Environmental management act 2004(Sheria ya usimamizi wa Mazingira 2004),Sera ya Mazingira 1997,Sheria ndogo za mazingira za Manispaa  za mwaka 2013.
  •     Kuhakikisha maeneo yote yaliyoainishwa kwa ajili ya kuhifadhiwa na ya nalindwa.
  •     Kusimamia utekelezaji wa sheria na sera za Mazingira na Usafi wa Mazingira.
  •     Kuhamasisha jamii inazingatia usafi wa Mazingira,kutunza vyanzo vya maji,misitu,ardhi na rasilimali nyinginezo za Mazingira.
  •     Usafishaji wa majengo,maeneo ya wazi,mifereji na barabara.
  •     Utunzaji uchambuzi na Usafirishaji wa taka .
  •     Uchambuaji utupaji taka na uendeshaji wa dampo la kisasa
  •     Utunzaji mazingira na upandaji miti,majani na maua,ukatiaji miti na upendezeshaji mazingira.
  •     Kufanya tathmini ya athari za mazingira.

Matangazo

  • Salamu za heri ya kumbukizi ya kuzaliwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan January 27, 2023
  • Taarifa kwa Umma January 17, 2023
  • Salamu za heri ya siku ya Mapinduzi ya Zanzibar January 12, 2023
  • Heri ya siku ya Mapinduzi ya Zanzibar January 12, 2023
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Ni bajeti ya wafanyakazi – Katibu Gondwe

    January 19, 2023
  • Jiji lakadiria kukusanya Bilioni 128

    January 19, 2023
  • Vyama vya Siasa hamasisheni ulipaji kodi – Prof. Mwamfupe

    January 19, 2023
  • Jiji kinara kutenga fedha za lishe

    January 19, 2023
  • Angalia zote

Video

Bwawa la Mtera kuhudumia Dodoma
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    3 CDA Street

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.