• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

ACC yatoa vifaa vya Mil. 62 kwa watoto wenye changamoto ya Afya

Imewekwa tarehe: August 14th, 2025

Na. Sofia Remmi, DODOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amepokea na kukabidhi vifaa vya michezo, vya kujifunzia pamoja na vitendea kazi vya watoa huduma za afya ngazi ya Jamii ili viweze kuwafikia walengwa waliopo katika baadhi ya halmashauri za mkoa huu.

Hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jengo la Mkapa. 

Akizungumza na baadhi ya wadau na watoa huduma ngazi ya jamii amesema Mkoa unashirikiana na Shirika la Action for Community Care (ACC) katika kutekeleza miradi ya Imarisha Afya na ViiV Pediatric Breakthrough Partnership ambayo inalenga kusaidia watoto na vijana wanaoishi na Virusi vya UKIMWI wenye umri wa miaka 0-19. Miradi inawezesha kuwaibua na kuwaunganisha watoto na vijana kwenye matibabu, kuwasaidia kubaki katika huduma na matibabu na kuishi maisha yenye afya.

“Vifaa vya  michezo na vya kujifunzia vinavyopokelewa leo vina umuhimu wa kipekee kwa kuwa  vitawezesha uchangamshi na ukuaji wa ubongo wa watoto na kuwamotisha watoto na vijana kuhudhuria kliniki kwa ajili ya huduma za VVU na kupunguza utoro na kuamasisha watoto dhidi ya kujifunza zitaongeza hamasa kwa wazazi na walezi kuwaleta watoto kwenye vituo vya tiba na matunzo hivyo, wakati wakisubiri huduma watoto na vijana watajifunza baadhi ya mambo badala ya kukaa bila kufanya kitu” alisema Senyamule.

Miradi hii ililenga pia kuwatambua na kutoa mafunzo kwa Wakunga wa Jadi kwa lengo la kuwaelekeza kuhusu umuhimu wa kuwaelimisha wajawazito kujifungulia katika vituo vya kutolea huduma za afya kwa usalama wao na watoto watakaozaliwa.

Kwa upande wake Meneja wa Miradi, Merina Mgongo alisema ACC ni shirika lisilo la Kiserikali na linatekeleza shughuli zake katika Halmashauri nne za Mkoa wa Dodoma ikiwemo Kongwa, Chamwino, Mpwapwa na Dodoma Mjini.

“ACC inateleza miradi ya Afya, Elimu, Kuboresha vifaa vya michezo Kama Bembea za watoto, mipira ya miguu na mkono, kikapu, kamba za kuruka, midoli, vinanda, runinga na vinginevyokuimarisha katika ngazi ya jamii na mazingira” alisema Mgongo.


Matangazo

  • REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST (EoI) (SELECTION OF AN INDIVIDUAL CONSULTANT September 19, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR RECRUITMENT OF URBAN TRANSPORT PLANNING SPECIALIST FOR THE CITY COUNCIL OF DODOMA (CCD) September 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • RC. Senyamule atoa wito kwa wadau wa ushirika kushiriki uchaguzi mkuu

    September 22, 2025
  • Wakurugenzi watakiwa kutenga maeneo yatakayowawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika kilimo

    September 21, 2025
  • Wakurugenzi watakiwa kutenga maeneo yatakayowawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika kilimo

    September 21, 2025
  • Halmashauri za Dodoma zatakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato

    September 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.