• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Baada ya kuirarua Mtibwa, Dodoma Jiji FC kuhamishia makali kwa Mwadui

Imewekwa tarehe: December 31st, 2020

TIMU ya Dodoma Jiji FC iliyo chini ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma kesho Ijumaa Januari 1, 2021 siku ya mwaka mpya itakuwa kibaruani ugenini kwa mara nyingine kuikabili Mwadui FC ya Shinyanga kwenye dimba la Mwadui Complex majira ya saa 8:00 mchana katika mchezo wa kwanza wa mzunguko wa pili wa ligi kuu ya soka ya Tanzania Bara.

Mchezo uliyopita Dodoma Jiji iliitandika Mtibwa Sugar ya Morogoro bao 1-0 kwenye uwanja wa Jamhuri Manispaa ya Morogoro na sasa imehamishia makali hayo huko kwenye machimbo ya almasi ya Mwadui huku ari kikosini ikiwa juu kusaka pointi tatu za msingi.

Tayari kikosi cha wachezaji 20 na viongozi 8 kipo mkoani Shinyanga na leo Alhamisi Disemba 31 kinatarajiwa kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja huo majira ya mchana ili kuzoea hali ya hewa kwa sababu mchezo huo utaanza saa 8:00 mchana kwa majira ya Tanzania.

Dodoma Jiji FC imemaliza mzunguko wa kwanza ikiwa nafasi ya 8 kwenye msimamo wa ligi hiyo yenye timu 18 na inahitaji ushindi kwa udi na uvumba ili kuendelea kujiweka sehemu salama kwenye msimamo wa ligi hiyo wakati huu ambapo mshambuliaji wake Seif Abdallah Rashid Karihe akiwa amewasha moto kwenye kufumania nyavu akiwa amefunga katika michezo minne mfululuzo akiwa na magoli matano licha ya kusumbuliwa na majeraha na kukosa mechi za mwanzo wa msimu. 

Wakati Karihe akitikisa nchi katika ufungaji, safu ya ushambuliaji itaongezewa makali na urejeo wa mshambulizi Anuar Jabiri ambaye alikuwa na majukumu ya nchi katika timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20 maarufu Ngorongoro Heroes sambamba na beki wa kulia Anderson Solomoni.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.