• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Baraza la Madiwani lapitisha bajeti ya Bilioni 128

Imewekwa tarehe: January 19th, 2023

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma lapitisha kwa kauli moja makisio ya Mpango na Bajeti ya halmashauri kwa mwaka wa fedha 2023/2024 jumla ya shilingi 128,278,555,369 kwa ujetekelezaji wa miradi ya maendeleo, ruzuku ya mishahara na matumizi mengineyo.

Makisio hayo yalipitishwa katika mkutano maalum wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Akiwasilisha rasimu ya makisio ya Mpango na Bajeti ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa mwaka wa fedha 2023/2024, Mchumi wa Jiji la Dodoma, Francis Kaunda aliyataja kuwa ni jumla ya shilingi 128,278,555,369. “Kati ya fedha hizo shilingi 55,128,229,369 ni mapato ya ndani, shilingi 59,082,835,000 ruzuku ya mishahara, shilingi 1,005,792,000 ruzuku ya matumizi mengineyo na shilingi 13,061,699,000 ruzuku ya miradi ya maendeleo” alisema Kaunda.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru alisema kuwa bajeti hiyo inakwenda kuangazia ukamilishaji wa miradi viporo. “Katika kikao cha Baraza la Chama kilituelekeza tuandae orodha ya miradi viporo yote ya Jiji la Dodoma na kuigawa kwenye Tarafa na madiwani wajiridhishe kama ndiyo miradi viporo wanavyovitambua wao. Tutaitembelea miradi viporo yote na kuifanyia tathmini na kuona jinsi ya kuikamilisha” alisema Mafuru.

Akiongelea vyanzo vya mapato ya ndani, alisema kuwa watavianisha na kuviwekea mikakati ya ukusanyaji wake. Alisema kuwa ofisi za kata zitapewa fursa ya kusimamia mapato katika maeneo yao ili kutoa ufanisi.

Akiongelea upelekaji wa fedha za kutekeleza miradi katika Kata, alisema kuwa madiwani watapewa taarifa. “Kwenye upelekaji wa fedha kwenye miradi ya maendeleo katika Kata, waheshimiwa madiwani watataarifiwa mapema katika hatua za awali ili waweze kushauri miradi yenye matokeo ya haraka ianze kutekelezwa. Wakati wa utoaji wa fedha tuwataarifu madiwani ili washauri” alisema Mafuru.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.