• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Baraza la Mawaziri, Dkt. Magufuli akamilisha uteuzi

Imewekwa tarehe: December 5th, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Magufuli leo Jumamosi Disemba 5, 2020 amefanya uteuzi wa Mawaziri 21 na Naibu Mawaziri 23 huku akiwateua waliokuwa makatibu wakuu wa wizara kuwa wabunge na kisha kuwateua kuwa mawaziri.

Aidha, Rais Dkt. Magufuli ameanzisha Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na kumteua Mbunge wa Kigamboni, Dkt. Faustine Ndugulile kuwa Waziri wa wizara hiyo na Kundo Mathew kuwa naibu waziri wake.

Akitangaza uteuzi huo Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi amesema uteuzi wa mawaziri wawili, Profesa Palamagamba Kabudi (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Africa Mashariki) na Dkt. Philip Mpango (Fedha na Mipago) unaendelea na hivyo kufanya idadi ya mawaziri kuwa 23 na naibu mawaziri 23.

Walioteuliwa kuwa Wabunge na kisha uwaziri ni Dkt. Dorothy Gwajima aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Tamisemi akishughulikia sekta ya Afya pamoja na Dkt. Leonard Chamuriho ambaye alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi.

Walioteuliwa kuwa Mawaziri:

  • Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Elias Kwandikwa
  • Utumishi na Utawala Bora- Kapten (Mst.) John Mkuchika
  • Wizara ya Ardhi- William Lukuvi
  • Wizara ya Maji- Juma Aweso
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
  • Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu -  Jenista Mhagama
  • Wizara ya Afya- Dkt. Dorothy Gwajima
  • Ofisi ya Rais Uwekezaji- Profesa Kitila Mkumbo
  • Wizara ya Katiba na Sheria – Dkt. Mwigulu Nchemba
  • Wizara ya Elimu- Profesa Joyce Ndalichako
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi - Mashimba Ndaki
  • Wizara ya Maliasili na Utalii – Dkt. Damas Ndumbaro
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - Suleiman Jafo
  • Wizara ya Nishati- Dkt. Medard Kalemani
  • Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi- Dkt. Leonard Chamuriho
  • Wizara ya Kilimo- Profesa Adolf Mkenda
  • Wizara ya Madini- Doto Biteko
  • Wizara ya Viwanda na Biashara- Godfrey Mwambe
  • Wizara ya Mambo ya Ndani- George Simbachawene
  • Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)- Ummy Mwalimu
  • Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari- Dkt. Faustine Ndugulile

Naibu Mawaziri:

  • Wizara ya Viwanda na Biashara- Kigae Silaoneka
  • Wizara wa Ardhi- Angelina Mabula
  • Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira- Patrobas Katambi
  • Wizara ya Mambo ya Ndani- Hamis Hamza Hamisi
  • Wizara ya Fedha- Mwanaida Ali Khamis
  • Wizara ya Elimu- Kipanga Juma Omar
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI – Dkt. Festo Ndugange
  • Wizara ya Nishati- Stephen Byabato
  • Menejimenti Utumishi wa Umma- John Ndejembi
  • Mawasiliano na Teknolojia ya Habari- Kundo Mathew
  • Wizara ya Mifugo- Pauline Gekul
  • Wizara ya Madini- Ndulane Kumba
  • Wizara ya Ujenzi- Godfrey Kasekenya
  • Ofisi ya Waziri Mkuu wenye ulemavu- Ummy Ndelinanga
  • Wizara ya Maji- Maryprisca Mahundi
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo- Abdallah Ulega
  • Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)- Mwita Waitara
  • Wizara ya Mambo ya Nje- William Olenasha
  • Wizara ya Maliasili na Utalii- Mary Masanja
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI- David Silinde
  • Wizara ya Kilimo- Hussein Bashe
  • Wizara ya Afya- Dk Godwin Mollel
  • Wizara ya Katiba na Sheria- Pinda Mizengo



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.