• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Biashara ya Tanzanite ifanyike Mirerani – Majaliwa

Imewekwa tarehe: July 7th, 2021

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila kuhakikisha kuwa hadi kufikia tarehe 10 mwezi huu awe amefanya marekebisho ya kanuni za sheria ili wanunuzi wote wa madini ya Tanzanite wafanye biashara hiyo eneo la Mirerani.

Amesema kuwa lengo la kufanya hivyo ni kuhakikisha kuwa madini hayo yanasimamiwa kikamilifu ikiwa ni pamoja na kuijulisha Dunia kuwa yanatoka Tanzania pekee na si kwingineko sambamba na kuwanufaisha wakazi wa eneo hilo na Tanzania kwa ujumla.

Ametoa agizo hilo leo Jumatano, Julai 7, 2021 alipozindua Kituo cha Pamoja cha Magufuli kilichopo Mirerani, mkoani Manyara.

"Eneo hili lina umasikini mkubwa, inatakiwa mji huu uwe na thamani ya kitu chenyewe kinachotoka hapa, kila kitu lazima kifanyike hapa hapa Mirerani, Tanzanite yote inunuliwe Mirerani"

Pia, amemuagiza Katibu Mkuu huyo kuhakikisha anawapatia vyumba wanunuzi katika jengo jipya alilolizindua ili wafanye biashara zao.

Amesema kuwa haiwezekani ujengwe ukuta wa kuzunguka eneo la mgodi wa Mirerani halafu madini hayo yatolewe na kwenda kuuzwa sehemu nyingine.

Kadhalika, Waziri Mkuu amewapa miezi mitatu wanunuzi wa Tanzanite kuhakikisha wanaanza kuongeza thamani madini hayo ikiwa ni pamoja na kujenga viwanda vya kuchakata madini hayo katika eneo la Mirerani.

"Sheria yetu inasema Tanzanite haiwezi kutoka nje ya nchi bila kuongezwa thamani, tukianza kuruhusu maeneo ya kuongeza thamani nje ya Mirerani ni rahisi kutoroshwa kabla ya kuongezwa thamani"

Amesema kuwa mpaka kufikia tarehe 15 Oktoba, 2021 wanunuzi wote wawe wameweka mitambo ya kuongeza thamani katika eneo la Mirerani na Serikali itatoa ardhi katika eneo Maalum la EPZA ili kuwawezesha kujenga viwanda vya uchakataji.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.