• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Chuo kikuu Mzumbe chawaalika wawekezaji kuchangamkia fursa za uwekezaji

Imewekwa tarehe: December 17th, 2022

KAIMU Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Profesa Willium Mwegoha amewaalika wawekezaji kuchangamkia fursa za uwekezaji katika shughuli anuai za chuo hicho kwa miradi inayoweza kutekelezwa kwa ubia.

Ameyasema hayo leo Desemba 17,2022 alipokuwa akizungumza kwenye Mahafali ya 21 ya Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Dar es Salaam, katika Ukumbi wa Mikutano Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Amesema Chuo hicho kina fursa za uwekezaji kwa ubia ikiwemo ujenzi wa hosteli za wanachuo, ujenzi wa maeneo ya biashara, michezo na burudani. "Kwa mfano Chuo Kikuu Mzumbe Kituo cha Tegeta bado kinahitaji Mabweni kwa ajili ya wanachuo hivyo tunawaalika wawekezaji walio tayari kushirikiana nasi."

Akifafanua zaidi amesema Chuo Kikuu cha Mzumbe kina sera ya uwekezaji ya mwaka 2020 inayotoa fursa ya ubia na wawekezaji mbalimbali.

Katika hafla ya mahafali hayo ya 21 Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amewatunuku Shahada za Umahili wahitimu 240 katika fani mbalimbali.Idadi ya wahitimu wanawake inayoendelea kuongezeka kila mwaka ni 114 sawa na asilimia 47.5 huku wanaume wakiwa ni 126 sawa na asilimia 52.5.


Wahitimu 89 wametunukiwa Shahada ya Umahili ya Biashara katika Menejementi ya Mashirika, wahitimu 45 Shahada ya Umahili ya utawala wa Umma, Shahada ya umahiri ya Sayansi katika Menejiment Rasilimali watu wanamahafali 24, Shahada ya Umahiri ya Sayansi katika Uhasibu na Fedha 7 na Shahada ya umahiri ya Sayansi katika Menajimenti ya Ununuzi na Ugavi wakiwa 14.

Wengine ni Shahada ya umahiri ya Sayansi katika menejimenti ya Masoko 6, Shahada ya umahiri ya Biashara katika Menejimenti ya Mashirika, Watendaji Wakuu 13, Shahada ya umahiri ya Sayansi Katika Uchumi Tumizi na Biashara 14, Shahada ya Umahiri ya Utawala wa umma-Watendaji Wakuu 6 pamoja na Shahada ya Umahiri ya Uongozi na Manajimenti wahitimu 13.

Kwa upande wake, Mwenyekiti mpya wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Saida Yahya-Othman akizungumza na wahitimu, amewataka kutumia elimu walioipata kutatua changamoto mbalimbali huko waendako.Amesema elimu waliyoipata inatakiwa iwe imetufungua siyo tu kiuchumi ili tupate ajira, bali pia kisiasa kwa ajili ya kujua haki zao na kijamii isaidie kulinda jamii na tamaduni na kuzitetea.

 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.