• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Bodaboda Dodoma wajenga nyumba ya "The Royal Tour", DC awapongeza

Imewekwa tarehe: September 17th, 2022

Na. Sifa Stanley, DODOMA

MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri ameupongeza Umoja wa Madereva Bodaboda Dodoma (UMADIDO) kwa kujenga nyumba kwaajili ya mshindi wa shindano la “the Royar tour”.

Pongezi hizo amezitoa leo alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba iliyojengwa kwaajili ya mshindi wa shindano la Pikipiki linalojulikana kama the Royal Tour, nyumba hiyo imejengwa katika Kata ya Iyumbu Wilayani Dodoma. Mkuu huyo wa wilaya amesema kuwa wazo walilokuwa nalo na walilolifanyia kazi ni wazo zuri ambalo linamanufaa kwa waendesha pikipiki wote maarufu kama bodaboda na kwa taifa.

“Nyinyi sio bodaboda tena, nyinyi ni Maafisa Usafirishaji na Rais mwenyewe aliwapandisha hadhi, nyinyi ni maafisa kwa sasa. Kwahiyo, kwa jambo hili mlilofanya ni jambo zuri sana niwapongeze sana kwa jambo hili. Lakini pia niwashauri mtengeneze logo kwaajili ya umoja wenu ili hiyo logo itumike kuwatangaza na itatumika kuwaingizia kipato pia”, alisema Shekimweri.

Naye, Keneth Chimoti Mwenyekiti wa UMADIDO alieleza namna nyumba hiyo itakavyotumika kuwasaidia maafisa usafirishaji  kutoa huduma zao na kuhamasisha utekelezwaji wa ujenzi wa jengo la kitega uchumi kwaajili ya maafisa usafirishaji.

“Tunataka kufanya kazi yetu iwe nzuri hivyo, tukaamua kuja na mradi wa ujenzi wa jengo la kitega uchumi lenye urefu wa ghorofa nane. Sasa wakati tunaendelea na huu mpango tukakubaliana kuwa tuwe na jambo la hamasa ili tuhamasishe ujenzi, tulipozungumzia jambo la hamasa tukakubaliana kuwa tuandae mashindano ya Pikipiki nchi nzima, na mshindi wa kwanza atapata zawadi ya nyumba hii. Mshindi wa pili atazawadiwa bajaji, mshindi wa tatu atazawadiwa pikipiki na mshindi wanne hadi wa kumi watazawadiwa fedha kiasi cha shilingi laki tano” alisema Chimoti.

Shindano la Pikipiki la the Royal Tour ni shindano ambalo limeandaliwa na UMADIDO lenye lengo la kuhamasisha Maafisa Usafirishaji kwenye ujenzi wa jengo la kitega uchumi litakalo kuwa na urefu wa ghorofa nane na litajengwa katika Kata ya Iyumbu wilayani Dodoma.




 


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.