• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji FC, mbioni kuwakabili Nyuki wa Tabora

Imewekwa tarehe: March 2nd, 2025
Na. Mussa Richard, TABORA

Klabu ya Soka ya Dodoma Jiji FC, imewasili salama mkoani Tabora, ambapo mchana wa kesho watakuwa na kibarua cha kuikabili klabu ya soka Tabora United, (Nyuki wa Tabora) katika mchezo wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara, mchezo utakao vurumishwa majira ya saa 8 kamili mchana katika dimba la Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora.


Akizungumza katika mkutano na waandishi wa Habari Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji FC, Meck Mexime alisema “Mungu ametusaidia tumefika salama, maandalizi yote ya mchezo tulifanya tukiwa Dodoma, hapa tunakuja katika utekelezaji tu wa kile tulichokifanyia mazoezi, tunajua tunakuja kukutana na mpinzani mgumu. Lakini na sisi tumejiandaa katika mazingira yote kukabiliana nao, ukizingatia tunaelekea mwishoni mwa msimu. Kwahiyo, sisi kama Dodoma Jiji FC, tumejiandaa tuwe bora zaidi ili tuweze kupata matokeo mazuri na tuweze kuondoka na alama zote tatu”. 

Nae, Augustine Nsata, ambaye ni Nahodha wa Klabu ya Soka ya Dodoma Jiji FC, akaweka wazi utayari wa kikosi kuelekea katika mchezo wa kesho dhidi ya Tabora United.


“Kama wachezaji tumejiandaa vizuri kuelekea katika mchezo wa kesho na tunajua utakuwa ni mchezo mgumu kwa pande zote mbili, lakini sisi tumejiandaa kwenda kufanya vizuri ili tuweze kujiweka katika sehemu nzuri zaidi kwenye msimamo wa ligi. Pia niwaombe mashabiki wa Dodoma Jiji FC, popote pale walipo waendelee kutuunga mkono kwasababu wao ni nguzo muhimu sana kwetu ya kuhakikisha tunafanya vizuri kwenye kila mchezo tunaocheza” alisema Nsata. 

Dodoma Jiji FC, kwasasa ipo katika nafasi ya Saba katika msimamo wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara ikikusanya alama 26, ikicheza michezo 20 huku ikiwa na mchezo mmoja mkononi.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.