• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji mshindi SHIMISEMITA

Imewekwa tarehe: November 6th, 2023

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, John Kayombo ameipongeza timu ya watumishi wa jiji hilo iliyoshiki michezo ya Shirikisho la Michezo Serikali za Mitaa (Shimisemita) kitaifa kwa kuibuka mshindi wa jumla ikizoa jumla ya vikombe vitano.

Kayombo alisema hayo katika hafla fupi ya kukabidhiwa vikombe ya Shimisemita katika ukumbi wa mikutano wa Jalmashauri ya Jiji la Dodoma.

“Niseme machache, kwanza nawapongeza kwa hatua hii. Haya makombe matano siyo mchezo, kuna halmashauri zimekuja siku ya kwanza ya pili zikaondolewa. Mimi haya makombe matano ninatamba nayo mjini, maana yake kazi mliyofanya siyo ndogo, hongereni sana. Niwatie moyo mwakani tupo pamoja kwa utimamu zaidi” alisema Kayombo.

Aidha, aliitaka timu ya mpira wa miguu ya watumishi wa Jiji la Dodoma kufuata nyayo za timu ya mpira wa miguu ya Dodoma Jiji. “Wale wa mpira wa miguu, haya masuala ya kusema kulikuwa na majeruhi hapana, jipangeni vizuri msimu ujao mlete kikombe. Nyie mna ‘facility’ zote hapa mjini na mna timu ya Dodoma Jiji Football Club ambayo ipo nafasi ya nne ligi kuu. Lazima mfuate nyayo za timu ya mpira ya Dodoma Jiji” alisema Kayombo kwa msisitizo.

Mkurugenzi huyo aliitaka timu hiyo kuendelea kufanya mazoezi kujiwinda na michuano hiyo mwakani. “Niwashauri endeleeni kufanya mazoezi, msisubiri hadi mwakani mashindano yakikaribia ndiyo muanze kufanya mazoezi. Mwisho wa mashindano ndiyo mwanzo wa maandalizi ya mashindano yajayo” alisema Kayombo.

Akisoma taarifa fupi ya michezo ya Shimisemita ngazi ya Taifa mwaka 2023 Katibu wa Timu ya Watumishi Jiji la Dodoma, Emma Ernest alisema kuwa timu ya watumishi wa Jiji la Dodoma ni miongoni mwa halmashauri 70 zilizoshiriki mashindano hayo. 

“Timu ya watumishi ya Dodoma Jiji ilishiriki mchezo ifuatayo mpira wa miguu, pete, wavu, mikono pooltable, draft, darts, ngoma, karata na riadha. Katika mashindano hayo timu ya Jiji la Dodoma ilishiriki michezo yote na kuweza kushinda michezo yote ambapo ilipelekea Jiji la Dodoma kuibuka kidedea mshindi wa jumla kwenye michezo ya Shimisemita mwaka 2023 na kupeperusha bendera ya Jiji la Dodoma ipasavyo” alisema Ernest kwa furaha.

Mashindano ya Shimisemita yalianza tarehe 18-30 Oktoba, 2023 na timu ya watumishi wa Dodoma Jiji iliibika mshindi wa jumla kwa kunyakua makombe matano, wanawake nafasi ya mshindi wa kwanza katika mpira wa pete, wavu, na mikono, huku wanaume wakishika nafasi ya pili mpira wa mikono na medali nne (mbili pooltable, moja draft na moja kurusha tufe) huku daktari bora wa mashindano aliyeokoa maisha ya wachezaji wote alitoka Jiji la Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.