• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

DUWASA yamshukuru Rais, Dkt. Samia kutoa kipaumbele huduma za Maji

Imewekwa tarehe: March 12th, 2025

Na. Faraja Mbise, DODOMA MAKULU

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) yamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuipa kipaumbele katika kutatua changamoto za upatikanaji wa Maji mjini Dodoma.




Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mradi wa kutoa Maji Njedengwa kupeleka mpaka UDOM, Mhandisi wa Usambazaji Maji, Peter Shemwelekwa kutoka DUWASA, alisema kuwa mamlaka inaendelea kuboresha hali ya upatikanaji wa Maji katika maeneo mbalimbali mjini Dodoma na pembezoni. “DUWASA ilipewa maelekezo na Wizara ya Maji kuongeza Maji katika busta ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ili kusaidia kuongeza kiwango cha Maji katika matanki yaliyopo (UDOM). Kutokana na Changamoto ya Maji kuwa kubwa katika Chuo Kikuu cha Dodoma. DUWASA iliamua kutoa Maji kutoka bomba kubwa la inchi sita linalotoka katika Tenki la Njedengwa na kupeleka Maji katika Tenki la kukusanyia Maji kabla ya kusukumwa kwenda maeneo mbalimbali ya UDOM. Mradi huu pia unalo tawi linalohudumia nyumba za NHC Iyumbu, pale itakapolazimu. Mpaka sasa mradi huu umekamilika na tayari umeshaanza kuhudumia Chuo cha UDOM” alisema Mhandishi Shemwelekwa.

Akiongelea hatua ya utekelezaji, alisema kuwa mradi ulianza kutekelezwa tarehe 24, Januari 2024 na kukamilika tarehe 2 Machi, 2024, ukihusisha ulazaji wa mtandao wa mabomba pamoja na viungio vyake wenye urefu wa kilomita 4.564. Mradi huo umepunguza kero ya upatikanaji wa Maji safi na salama katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) baada ya kukamilika kwake, aliongeza. 

Mradi wa Maji safi Njedengwa-NHC-UDOM ulitekelezwa kwa fedha za serikali kuu kiasi cha shilingi 291,338,460 umekamilika kwa asilimia 100.

MWISHO





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.