• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Elimu ya Ardhi sasa mtaani kwako, Dodoma usijenge bila kibali

Imewekwa tarehe: November 11th, 2021

OFISI ya Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dodoma wanafanya  kampeni ya kutoa elimu ya umiliki wa ardhi kwa wakazi wa Jiji la Dodoma kwa kupita katika mitaa ya jiji hilo na kukutana na wananchi kwenye maeneo yao na kuwapatia elimu kwa njia ya mazungumzo, matangazo, sanaa za maagizo, ngoma za asili, pamoja na kugawa vipeperushi vinavyoelezea masuala tofauti yahusuyo arhi ikiwemo kodi za pango na majengo.

Lengo la kampeni hiyo ni kumfikishia mwananchi hususan mkazi wa Jiji la Dodoma elimu kuhusu umiliki, kodi, na fursa mbalimbali zinazopatikana kwenye sekta ya ardhi ikiwemo upatikanaji wa viwanja vya makazi na uwekezaji wa viwanda katika jiji la Dodoma.

Afisa Habari wa Ofisi ya Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Dodoma Hassan Mabuye alisema kampeni hiyo inafanyika kwa muda wa siku tano mfululizo na inatajiwa kukamilika Jumatatu Novemba 15, 2021.

Mabuye alisema zoezi la kuwafuata wananchi katika maeneo yao na kuwapatia elimu hiyo kuhusu masuala mbalimbali ya ardhi ni endelevu na hapo baadaye itafanyika katika wilaya zote za Mkoa wa Dodoma.

"Mpaka sasa tumeshazunguka na kutoa elimu hii katika maeneo kadhaa ya jiji la Dodoma kama Ihumwa, Nzuguni, Chang'ombe, Nkuhungu, Majengo, Mnadani na bado tunaendelea" alisema Mabuye.

Alitoa wito kwa wakazi wa jiji la Dodoma kujitokeza kwa wingi pale ambapo kunafanyika mikutano hiyo katika maeneo yao ili kupata elimu hiyo ambapo inatarajiwa kendelea jumapili ya Novemba 14, 2021 katika maeneo ya Swaswa, Ilazo, Kikuyu, Chidachi, na Mnada mpya wa Kizota.

Kwa upande wake Afisa Habari wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Ramadhani Juma alisema fursa ya Jiji hilo kushirikiana na Ofisi ya Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Dodoma inawasaidia kuwaelimisha wakazi wa jiji hilo kuhusu masuala ya ardhi na kwamba itawasaidia kupunguza changamoto kadhaa za uelewa kwa wananchi kwani wanapata fursa pia ya kuuliza maswali kwa mambo yanayowatatizo.

"Lakini pia tunawatangazia uwepo wa fursa za upatikanaji wa viwanja vinavyouzwa na Halmashauri kwa ajili ya matumizi mbalimbali katika maeneo ya jiji hilo ikiwemo eneo maalum la uwekezaji wa viwanda kwenye Kata ya Nala ambapo tayari baadhi ya wawekezaji wameanza ujenzi wa viwanda kama kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika Mashariki ambacho tayari ujenzi wake umeanza.

Aidha, Juma alisema katika mikutano hiyo na wananchi pia wanawakumbusha wale ambao walishanunua viwanja siku za nyuma na bado hawajakamilisha malipo ya viwanja hivyo kufanya hivyo hadi kufikia Novemba 30, 2021 kwani baada ya hapo vitauzwa upya kwa wateja wengine bila mteja wa awali kupewa taarifa.

Aliyataja baadhi ya maeneo ambayo wateja wengi hawajakamilisha malipo ya viwanja kuwa ni pamoja na Mtumba, Kikombo, Nzuguni, Iyumbu, Njedengwa, Michese, Mkalama, Nala, Michese, Wia Extension, Nzuguni na Mahomanyika.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.