• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

FISTULA bado ni tatizo nchini- CCBRT

Imewekwa tarehe: May 23rd, 2023

JUMLA ya wagonjwa 17500 wamepatiwa  matibabu ya ugionjwa huo na Shirika linalotoa huduma za afya la CCBRT tangu shirika hilo lilipoanza kutoa huduma hizo mwaka 2003.

Meneja miradi wa Shirika la CCBRT,Yohana Kaswalala  alisema hayo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Fistula ambayo imefanyika kitaifa wilayani kasulu mkoani Kigoma na kusema kuwa jitahada zinapaswa kufanywa ili kukabiliana na tatizo hilo kwani bado ipo idadi kubwa ya waathirika hawajapata huduma.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa CCBRT,Brenda Msangi  katika maadhimisho hayo Kaswalala alisema kuwa takwimu zinaonyesha kuwa kuna wanawake zaidi ya 500,000 kusini mwa Jangwa la Sahara  wana matatizo ya Fistula kati yao 10,000 wakiwa nchini Tanzania.

Katika kukabiliana na hali hiyo alisema kuwa shirika hilo limeendelea kutoa matibabu bure na gharama za usafiri kutoka popote Tanzania kwenda katika hospitali yao jijini Dar es Salaam hivyo kutoa wito kwa wagonjwa wote kujitokeza kupata matibabu.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkazi wa shirika la Americares, Dk.Nguke Mwakatundu alisema kuwa changamoto ya Fistula nchini bado ni kubwa hivyo serikali kwa kushirikiana na wadau hawana budi kufanya kazi kwa pamoja na kuongeza juhudi kukabiliana na tatizo hilo.

Dk.Mwakatundu alisema kuwa tangu mwaka 2011 shirika hilo lianzie kutoa huduma za afya limewezesha kupatiwa matibabu kwa wagonjwa 2000 katika hospitali ya Bugando na kubainisha kuwa kila mwaka wagonjwa 2500 wanatokea nchini na katibyaov wanaopata matibabu ni 1500 tu.

Mwakilishi huyo Mkazi wa Americares alisema kuwa ni lazima huduma za uzazi salama ziimatishwe sambamba na kusogezwa karibu kwa huduma za upasuaji kwa waathirika wa ugonjwa wa Fistula.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Waziri wa afya, Ummy Mwalim alisema kuwa serikali imeazimia kutekeleza kwa vitendo mpango wa kuondoa tatizo la ugonjwa wa fistula kwa wanawake wakati wa kujifungua ifikapo mwaka 2030.

Katika hotuba iliyotolewa kwa niaba yake na Mkurugenzi wa Tiba wizara ya afya, Profesa Pascal Rugajo alisema kuwa moja ya mipango mikakati katika kutekeleza hilo ni uwepo wa vituo vya kutoa huduma za uzazi salama na uzazi pingamizi ambavyo vimeonekana kuwa ndiyo chanzo cha matatizo ya Fistula.

Alisema kuwa hadi sasa huduma za uzazi salama zinatolewa kwenye vituo 503 nchini kwenye vituo vya afya na zahanati na kwamba serikali kwa kushirikiana na wadau itaendelea kutoa huduma kwa waathirika na kuongeza utoaji huduma ili ziweze kutolewa nchi nzjma kuwezesha kurudisha tabasamu kwa wanawake waliopatwa na tatizo hilo.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.