• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Gari la Darasa Tembezi latembelea Dodoma Media College

Imewekwa tarehe: October 13th, 2024

Na. Asteria Frank, DODOMA

GARI la Darasa Tembezi kutoka Halmashauri ya Jiji Dodoma limetembelea Dodoma Media College kwa

lengo la kuelimisha kuhusu uandikishaji wa daftari la makazi kuelelea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Gari la darasa Tembezi limewapa wanafunzi wa chuo hicho elimu ya kujiandikisha kwenye daftari la

orodha ya makazi linaloanzaa 11-20 Oktoba,2024 na kuwataka washiriki katika uchaguzi wa serikali za

mitaa kwa maana ni haki yao na ni muhimu kuchaguwa viongozi wa mitaa wanayoishi

Mwenyekiti wa uelimishaji na uhamasishaji wa Darasa tembezi Shadia ……… aliwaelimisha wanafunzi

kuwa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakao fanyika tarehe 27 Novemba, 2024 hivyo wanafunzi

wanatakiwa kujiandikisha kwenye daftari la makazi katika ofisi za Mitaa, Shule za Msingi na Sekondari,

zahanati na vituo vya afya, Maeneo ya wazi yenye mkusanyiko ya watu na majengo mengine ya Taasisi

za Umma yaliyopo katika Mitaa au Vitongoji ili aweze kushiriki kuchagua Mwenyeki pamoja na wajumbe

wa kamati ya utekelezaji.

Alisema kuwa kuna utofauti kati ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura ambalo

lilikufanya upate kadi ya kupiga kura mwaka 2025 kwenye kuchagua Diwani, Mbunge na Raisi,

kujiandikisha kwenye daftari la makazi ni kwaajili ya kupata sifa ya kushiriki Uchaguzi wa Serikali za

Mitaa na linabeba orodha ya wananchi wanaoishi katika eneo husika.

“Zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura haliusiani kabisa na uchaguzi wa

serikaliza mitaa kwahiyo ili kupata sifa ya kushiriki Uchaguzi wa Serikari za Mitaa ni lazima ujiandikishe

kwenye daftari la mkazi katika mitaa tunayo toka” alisema ……...

Aliongeza kuwa kupata sifa ya kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni lazima uwe Raia wa Tanzania,

uwe na umri wa miaka 18 na kuendelea , ni mkazi wa mtaa ambao uchaguzi unafanyika, uwe na akili

timamu na awe amejiandikisha kupigakura katika mitaa husika na zoezi la kujiandikisha ni la mda

mfupi.

Balozi wa Rushwa Noela …….. alisema kuwa ruswa ni kitendo cha kutoa au kupokea kitu chenye

thamani bila kufata taratibu au kwenda kinyume na sheria hivyo kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

na hata uchaguzi ujao mwakani vitendo vya ruswa vinachukua nafasi ikiwemo ruswa ya

ngono,manaweza kupewa hongo na vitu vingi sana.

“mimi kama balozi wa rushwa napenda kuwakataza msipokee wala msikubali kuchukuwa rushwa na

kama unaweza kukutana na tatizo kama hilo unawza kupiga 113 kwaajili ya kuripoti ukiwa na ushahidi

asanteni na ninawaomba msiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa” alisema Noel.

Mwanafuzi wa ngazi ya cheti wa Dodoma Media College Martin Tulo alisema kuwa uchaguzi wa serikali

za mitaa unatuhusu watu wote na watu tulikuwa na dhana ya kuwa wagombea wa uchaguzi ni ya watu

wenye umri mkubwa na wazee kumbe na sisi vijana tunapaswa kushiriki sio tu kupigakura hata

kugombea.

“kama vijana kuna faida nyingi zakushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa ikiwa moja wapo ni kupata haki

yako ya msingi , kushiriki katika vikao vya maamuzi na pia kupata uzoefu wa uwongozi kwa wale

wanaotaka kuja kuwa wanasiasa hapo mbeleni” alisema Tulo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.