• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

Imewekwa tarehe: April 22nd, 2025

Na. Leah Mabalwe, NALA

Shule ya Sekondari Nala imefanikiwa kupandisha kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi kutokana na utekelezaji wa dhamira ya serikali ya awamu ya sita wa kuhakikisha wanafunzi wanapata huduma ya chakula na lishe shuleni.

Kauli hiyo ilitolewa na Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari Nala, Mwl. Joseph Chambo alipokuwa mwenyeji wa waandishi wa habari waliotembelea shule yake kuona utekelezaji wa miradi ya maendeleo na utoaji wa huduma ya chakula na lishe shuleni hapo katika kipindi cha miaka minne ya serikali.

“Katika utekelezaji wa Muongozo wa kitaifa wa ulaji wa huduma ya chakula na lishe kwa wanafunzi wa elimumsingi umetunufaisha sana. Hapo awali kulikuwa na mahudhurio hafifu sana shuleni kwetu. Pia hata tukiwa darasani wanafunzi walikuwa na uelewa wa chini na hata ufaulu ulikuwa sio mzuri sana. Kufuatia utelekezaji wa mwongozo huu shule yetu sasa imekuwa ni ya mfano. Watoto wanahamasika kuja shule na hata ufaulu umepanda kwa kiasi kikubwa kulinganisha na hapo awali. Sisi kama walimu tumetekeleza muongozo huo kwa kiasi kikubwa sana’’ alisema Mwl. Chambo.

Vilevile, aliongeza kuwa utoaji wa huduma ya chakula na lishe shuleni hapo ulisaidia kuepusha vishawishi kwa wanafunzi hasa wanafunzi wa kike. “Huduma ya chakula na lishe imesaidia kuchochea wanafunzi kuja shuleni na kusoma kwa amani na utulivu huku wakifuatilia vipindi kwa umakini, jambo lililopelekea kupanda kwa kiwango cha ufaulu” alisema Mwl. Chambo.

Nae, Mwanafunzi Vanessa Fidelis aliishukuru serikali kwa utaratibu wa utoaji wa huduma ya chakula na lishe shuleni hapo.

“Naishukuru sana serikali kwa kuleta huduma hii shuleni kwasababu imesaidia kuhamasisha wananfunzi kupunguza utoro na imesaidia kusoma kwa muda mrefu hasa vipindi vya jioni. Utaratibu huu umesaidia kukuza taaluma yetu na kupandisha kiwango cha ufaulu” alisema Fidelis.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.