• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

J. K. Nyerere: Tutaendelea "kunata na biti" na "Kukupigia mwingi" - Dkt. Hassan

Imewekwa tarehe: October 14th, 2021

Anaandika Dkt. Hassan Abbasi, KM-SUM

Leo Taifa letu na dunia tunakutana hapa Chato, Tanzania, kukuombea dua na kuyatafakari maoni na maono yako kuhusu Taifa hili Baba Mwalimu Julius Nyerere.

Nyuma kidogo kwa minajili ya dhukuru: Oktoba 14, 1999, ilikuwa siku ya majonzi na huzuni kubwa kwetu lakini kumbe katika maandiko ilishaandikwa na ulipaswa kwenda tena bila kutazama nyuma! Tumeyapokea!

Leo Oktoba 14, 2021, miaka 22 baadaye, imekuwa limbuko kwetu kuwa kweli umekwenda na yatupasa kuamini hivyo na kukubali hilo zaidi tunabaki kumshukuru Mungu kupata wasaa leo si tu kukuenzi wewe kama wanavyokuita “Julius Nyerere of Tanzania,” lakini Taifa linapata muda mujarabu kufanya jambo mustakimu kabisa la kutafakari maono yako makubwa, sayansi uliyoitumia kuweka pamoja Taifa la makabila zaidi ya 120 na sanaa uliyoitumia dunia kufika mahali pa wasomi wa sayansi na sanaa za maendeleo kama Mwalimu wa wengi Prof. Haroub Othman, kukuita “Intellectual in Power.”

Leo Taifa letu na Tanzania uliyoiwaza iko chini ya Mama yetu Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ambaye kuna lugha mbili aushi zinazotumika mtawalia kueleza jinsi anavyofanya mengi kuenzi ndoto zako.

Bahati nzuri zote ni sekta zinazonihusu: Kwa wanamichezo wanasema Mama “anaupiga mwingi” katika kukuenzi lakini juzi vijana wa sanaa nao wamekuja na lao wanasema Mama “ananata na biti” mno katika kukimbiza maendeleo uliyotamani kuishi ukiyaona.

Kubwa ni kwamba leo hapa Chato na Tanzania kwa ujumla wewe hukubaki tu kuwa mwanamaono mkuu wa Taifa hilo bali maono yako makuu yanaendelea kuliangaza na kuliongoza Taifa.

Kwa heshima hiyo tunakuahidi sisi viongozi vijana na wakuu wetu tutaendelea kuupiga mwingi na hatutasita kunata na biti katika kuendelea kuyatimiza maono yako.

Upumzike kwa amani!

Wassalam na wakatabahuuu!!

Chato, Tanzania.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.