• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jopo la wawekezaji wakutana na RC Mahenge

Imewekwa tarehe: December 4th, 2020

JOPO la wawekezaji wa makampuni mbalimbali kumi na tatu (13) kutoka nchini Austria wamekutana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge kwa ajili ya kutafuta maeneo ya uwekezaji katika sekta za usafirishaji, elimu, kilimo, afya na ujenzi wa miondombinu.

Akizungumza mara baada ya kufanya kikao kati ya wawekezaji hao, Halmashauri ya Jiji la Dodoma, kituo cha uwekezaji na ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Binilith Mahenge amesema wamefanya mawasilisho kwa pande zote mbili huku jiji la Dodoma wakionyesha maeneo muhimu na fulsa zilizopo.

“Leo tumepokea ugeni mzito kutoka Austria wakitafuta maeneo ya uwekezaji tumepata mda wa kila mtu kuwasilisha kwa upande wake wenyewe wakituonyesha maeneo watakayowekeza na wenzetu jiji wakaonyesha fulsa zilizopo pamoja na maeneo ya kuwekeza” amesema Dkt Mahenge.

Amebainisha kuwa wawekezaji hao wameonyesha nia ya kuwekeza katika maeneo ya usafirishaji, elimu, kwenye kilimo, afya na ujenzi wa miondombinu jambo ambalo ni muhimu sana katika mkoa wa Dodoma hasa ukizingatia katika wakati huu tunajenga makao makuu.

“Uzuri ni kwamba hata wao walipokuwa wanakuja walifahamu kuwa Dodoma ni makao makuu kwahiyo hata fulsa wanazotaka kuwekeza zimelenga katika ujenzi wa miondombinu na huduma za kijamii katika mkoa wetu” amesema.

Amesema Dodoma ni jiji linalojengwa karne ya 21 kwamba ni jiji linalojengwa kisasa na linalopangiliwa vizuri kuungwa mkono na wawekezaji kama hao ni muhimu katika kuwekea miondombinu sawa na huduma za kijamii zinatakiwa kuwa za uhakika katika sekta zote.

“Hapa Dodoma tunahospitali chache sana kuna huduma ukizikosa katika hospitali ya Benjamini Mkapa inabidi utoke nje ya mkoa kufuata huduma hizo, kiujumla hospital ni chache sana lakini un apopata wawekezaji kama hawa tunaamini tutapata huduma za uhakika na kuweka viwanda vya dawa” amesema.

Amesema miongoni mwa fulsa nyingine wanazotafuta wawekezaji hao ni usafirishaji hasa wa treni zinazotumia nishati ya gasi na ni gharama nafuu ukilinganisha na usafiri wa sasa unaotumia mafuta ambayo sio rafiki kwa mazingira.

Amesema amewaeleza upatikanaji wa zao pekee la zabibu linalopatikana katika mkoa wa Dodoma pekee pia hata bidhaa itokanayo na zao hilo ni nzuri ukilinganisha na zinazozalishwa katika maeneo mengine zinakopatikana bidhaa hizo.

“Hapa kwetu nimewaeleza kuna zao la zabibu ambalo ni tofauti na kwingine yani inaradha ya kipekee kabisa, kwahiyo nimewakaribisha kuona namna ya kuwekeza katika viwanda vinavyozalisha bidhaa za zabibu” amesema.

Kwa upande wake Mchumi wa Jiji la Dodoma bwana Shabani Juma wakati akiwasilisha vipaombele vilivyopo katika jiji amesema jiji la Dodoma limepima viwanja sambamba na kutenga maeneo ya uwekezaji na makazi katika eneo la uwekezaji ambapo pia limeunganishwa na huduma zote za kijamii.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.