• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

“Katika kila Vizazi hai 160 mtoto mmoja huzaliwa Na Usonji Tanzania” – Waziri Mwalimu

Imewekwa tarehe: April 30th, 2023

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu alisema kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonesha kwamba katika kila vizazi hai 160 mtoto mmoja huzaliwa na tatizo la Usonji Tanzania.

Mwalimu alisema haya aliposhiriki Marathon ya kuchangia huduma za Usonji zilizofanyika katika viwanja vya Green Garden-Oysterbay Jijini Dar es Salaam.

“Lakini takwimu za sasa kwenye vituo vya huduma za afya na shuleni zinaonesha kuwa takribani watoto 2000 tu ndio wanaopatiwa huduma.” alisema Waziri Mwalimu

Aidha, alisema ukilinganisha na hali ya uzazi nchini ambapo jumla ya wanawake milioni 2.4 hujifungua kila mwaka na kwa makadirio ya WHO inaonesha kuwa kila mwaka watoto zaidi ya 15,000 huzaliwa na tatizo la Usonji kwa kiwango tofauti.

Akielezea tatizo la Usonji Mwalimu  alisema kuwa Usonji ni tatizo la kibaiolojia ambalo humkumba mtoto akiwa ndani ya tumbo la mama yake na tatizo hilo hujidhihirisha zaidi mtoto anapofikia umri wa miaka mitatu.

Hata hivyo Mwalimu alisema katika kukabiliana na tatizo la idadi ndogo ya walimu, shule chache zenye uwezo wa kuhudumia watoto wenye mahitaji maalum, Serikali imeanzisha mafunzo ya ngazi ya stashahada (diploma) katika Chuo cha Ualimu Patandi Arusha na vyuo vikuu vingine.

Sambamba na hilo, Mwalimu alibainisha kuwa Kwa kutambua ukubwa wa tatizo hilo Wizara ya Afya imeimarisha huduma za Afya ya Akili pamoja na Huduma za Utengamao ili kuweza kuongeza ufanisi kwenye huduma hizo.

Mwisho, Mwalimu alisema Wizara ya Afya inashirikiana na Sekta nyingine muhimu ikiwemo Sekta ya Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu eneo linaloshughulikia watu wenye ulemavu, Wizara inayoshughulikia masuala ya Maendeleo ya Jamii, wanawake na makundi maalum pamoja na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kuhakikisha kuwa wanashirikiana ili kuleta tija katika upatikanaji wa huduma hizi

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.