• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Luku za maji mwezi ujao

Imewekwa tarehe: June 22nd, 2021

SERIKALI imesema mfumo wa Mita za Malipo Kabla ya Matumizi (LUKU) kwa wateja maji unatarajia kuanza mwezi ujao ambapo utasaidia kuondoa malalamiko ya wananchi kubambikiwa ankara za maji.

Hayo yameelezwa leo June 21,2021 na Katibu  Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga, wakati akifungua kikao cha ushirikiano baina ya Wizara za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zenye dhamana ya sekta ya maji.

Mhandisi Sanga amesema kuwa wanafikiria kuanza kutumia mita za kulipa kabla ya matumizi ambapo katika maandalizi hayo wanategenmea ndani ya wiki mbili maandalizi yatakuwa yamekamilika ambapo kuanzia Julai wataanza kufunga rasmi kwa wateja.

“Changamoto ambayo kwa sasa tunakumbana nayo ni malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu kubambikiziwa ankara za maji, mfumo huu wa kufunga mita za LUKU kabla ya matumizi umependwa na watu wengi kwa sababu mteja atalipa kwanza halafu ndio anapata huduma,” amesema

Aidha,Mhandisi Sanga amesisitiza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuanza kutenga maeneo kwa ajili ya kuhifadhi maji taka ambapo sasa ni asilimia 30 ya maji  taka ndio yanayohifadhiwa.

Amesema itakuwa haina maana yoyote kama nguvu kubwa kuwekwa katika maji safi halafu wakasahau  namna ya kuhifadhi maji taka, kwani utafiti unaonyesha kuwa ukipeleka maji asilimia 80 kati ya hizo 40 yatakuwa maji taka.

“Katika hili nasisisitiza suala zima la kutafuta maeneo kote Tanzania Bara na Zanzibar kwa sababu miradi ya maji safi inahitaji sana maeneo, hivyo tusipokuwa makini tutajenga miradi ya maji safi lakini tusipoweka mikakati ya kuondoa maji taka itakuwa ni shida,”amesema Katibu Mkuu huyo.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Maji,Nishati na Madini Zanzibar Dkt .Mngereza Mzee Miraji, amesema ushirikiano katika sekta ya maji  ni jambo zuri kwa sababu itasaidia kuboresha utendajikazi miongoni mwao.

“Ndoto ya ushirikiano ilikuwepo tangu miaka ya 50 iliyopita na sasa imetimia kwa vitendo.Wizara ya Maji na Madini kutoka Zanzibar tumepokea kwa mikono miwili suala la ushirikiano wa kisekta na Tanzania Bara, tunaamini ushirikiano huu utazaa matunda kwa wananchi wa pande zote mbili,”amesema..

Naye Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Nadhifa Kemikimba, amesema sekta ya maji imeendelea kufanya vizuri kutokana na ushirikiano uliopo baina ya viongozi wote katika sekta hiyo.

“Ukweli miongoni mwa sekta ambazo zinafanya vizuri hapa Tanzania Bara huwezi kuacha kuongelea sekta ya maji, imekuwa bora sana, tuendelee kushirikiana miongoni mwetu,” amesema.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.