• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mavunde awanufaisha wakazi wa Kata ya Kizota

Imewekwa tarehe: May 11th, 2025

Na. Asteria Frank, DODOMA

Afisa Mtendaji wa Mtaa wa Relini, Kata ya Kizota, Lizi Edward amshukuru Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde kwa kuwanufaisha wananchi kupitia miradi ya maendeleo ya elimu kwa kuanzisha ujenzi wa Shule ya Msingi Mbuyuni kwa lengo la kupunguza msongamano wa wanafunzi.

Aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari waliotembelea miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na serikali katika Kata ya Kizota. 

“Kipekee nipende kumshukuru Mhe. Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde kwa kutuletea na kutusapoti kuanzisha ujenzi wa shule ya Mbuyuni ambapo kwa kushirikiana na nguvu za wananchi tumefanikiwa kujenga madarasa sita na ofisi mbili ambapo bado haijakamilika. Pia tunaishukuru serikali kwaajili ya kutupatia mradi wa kituo cha afya kwaajili ya kutoa huduma na kuboresha afya za wananchi” alisema Edward.

Kwa upande wake Mwalimu wa shule ya Msingi Mahungu, Mwl. Donatus Gagula, alisema kuwa shule imeanza kujengwa mwezi Oktoba 2024, kupitia mradi wa BOOST na inatarajiwa kuanza kupokea wanafunzi tarehe 22 Aprili baada ya likizo ya robo muhula. “Hii shule imejengwa kwaajili ya kuwasaidia wanafunzi baada ya serikali kubaini kwamba kuna maeneo ambayo yanahitajika shule zijengwe kwa maana kuna wanafunzi wanatoka sehemu za umbali mrefu kutoka katika makazi yao. Hivyo, serikali ikaamua kwamba ijenge shule hii mpya ya Msingi Mahungu ili kuwanufaisha wanafuzi hao, kuwaondolea usumbufu pamoja na kuwaondolea mazingira hatarishi” alisema Mwl. Gagula.

Pia aliongeza na kusema kuwa uwepo wa shule hii una manufaa makubwa sana kwa wakazi wa maeneo ya karibu. “Manufaa yatakayo patikana katika hili eneo ni pamoja na kuwapunguzia kero wazazi kwa ule usumbufu wa wanafunzi kuingia gharama kubwa kwenda umbali mrefu kupata elimu na manufaa ya pili ni kero ambazo wanafunzi walikua wanapata wakiwa njiani kama usafiri, kuchelewa kufika shuleni na nyumbani muda wa kurudi itakuwa imetatuliwa” aliongeza Mwl. Gagula.

Pia mkazi wa Mtaa wa Mbuyuni Mahungo, Kata ya Kizota, Joseph Wambura amemshukuru Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapelekea shule karibu ili kuondoa changamoto ya watoto kwenda kusoma shule mbali na nyumbani. “Ninamshukuru, Mheshimiwa Rais wetu, mbunge na Diwani kwa ujenzi wa shule hii ya msingi kwasababu itaondoa changamoto ya watoto wetu kwenda umbali mrefu hapo awali walikua wanatembea takriban kilomita nane kuifuata shule. Mitaa ya Uhuru na Sokoine sasa tuna amani shule ipo karibu tutawajibika kuwakazania watoto wasome kwa bidii” alishukuru Wambura.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.