• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mfumo Jumuishi kutoa mikopo ya 10% Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: February 25th, 2025

Na. Nancy Kivuyo, TAMBUKARELI

Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kushirikiana na Benki ya CRDB wamefanya kikao kazi kuhusu utoaji na usimamizi wa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kupitia mfumo jumuishi kwa lengo la kujenga uelewa wa Pamoja kuhusu utoaji wa mikopo hiyo.

Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Charity Sichona akizungumza na watendaji wa kata na maafisa maendeleo ya jamii, alisema kuwa kanuni na sheria za utoaji wa mikopo kwa vikundi ni muhimu. Aliwataka wazichukue ili wakatoe elimu ya kutosha katika kufanikisha utaratibu wa kupata mikopo kwa haraka na kwa wakati. “Mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu inatekelezwa kwa mujibu wa sheria kwa uwiano wa 4-4-2 ikimaanisha wanawake asilimia nne, vijana asilimia nne na watu wenye ulemavu asilimia mbili” alisema Sichona.

Aidha, aliwasisitiza kuzingatia miongozo na sheria za utoaji mkopo lakini pia kwenda kutoa elimu iliyo sahihi kwa vikundi kwasababu mikopo itatolewa kupitia benki, hivyo, vikundi vinatakiwa kuwa na akaunti itakayowawezesha kuweka pesa za mkopo.

Nae, Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Andrew Mwiziwa alizungumzia namna benki hiyo wanashirikiana na mamlaka za serikali katika kuhudumia vikundi vya wajasiriamali vinavyohitaji mikopo ya riba nafuu kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Alifafanua kuwa “akaunti za vikundi hazina makato lengo likiwa ni kuvisaidia vikundi hivyo kuendeleza miradi yao kwa ufanisi ili wafikie malengo yao” alisema Mwiziwa.


Alisema kuwa viwango vya ukomo wa utoaji wa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vinaanzia shilingi 500,000 kiwango cha chini na shilingi 150,000,000 kwa kiwango cha juu.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.