• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mhe. Mchengerwa atoa maelekezo matatu matumizi ya mfumo wa NeST

Imewekwa tarehe: February 6th, 2025

OR-TAMISEMI

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa maelekezo matatu kwa Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na Wakuu wa vitengo vya Manunuzi kwenye Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia takwa la kisheria la kutumia mfumo wa kielektroniki wa ununuzi (NeST) na miradi inaendana na thamani ya fedha.

Naibu Waziri wa Ofisi hiyo, Mhe. Festo Dugange ameyasema hayo leo Februari 4, 2025 jijini Dodoma alipokuwa akifungua kikao kazi kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2023 na matumizi ya mfumo huo kwa niaba ya Waziri Mchengerwa, kilichohudhuriwa na Wabunge, Wakurugenzi na Wakuu wa vitengo vya manunuzi toka kwenye Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Katika hotuba yake, amesema amesema Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) inapaswa kusimamia sheria kwa kuhakikisha Taasisi nunuzi zote zinafanya ununuzi kwa kutumia NeST.

“Chukueni hatua kwa wanaokiuka takwa hili la kisheria, kwani iko wazi hatua za kuchukua juu ya ukiukwaji wa utaratibu huu. Naelekeza kuhakikisha miradi yote inakuwa na thamani ya fedha na inakamilika kwa wakati na kwa viwango vilivyokusudiwa,”amesema.

Aidha, ameelekeza kuzingatia takwa la kutenga bajeti ya ununuzi kwa makundi maalum kama inavyoelekezwa na sheria.

“Nawaelekeza kusimamia fedha nyingi ambazo serikali imetenga na kuleta katika maeneo yenu kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, nasisitiza hapa Mkurugenzi kushindwa kutekeleza moradi kwa wakati inawanyima haki wananchi kutumia miradi hiyo, hili halikubaliki kila mmoja atimize wajibu wake,”amesema.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.