• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mkutano wa Kumi na Nane wa Bunge waanza Jijini Dodoma

Imewekwa tarehe: January 28th, 2020

MKUTANO wa Kumi na Nane wa Bunge la Kumi na Moja umeanza siku ya Jumanne tarehe 28 Januari 2020 na unatarajiwa kumalizika tarehe 7 Febuari 2020 Jijini Dodoma. Mkutano huu ni Mahsusi kwa ajili ya Bunge kupokea na kujadili Taarifa za Mwaka za Kamati za Kudumu za Bunge. Shughuli zitakazofanyika katika Mkutano huo ni kama ifuatavyo:-

1.0 KUWAKABIDHI MAJOHO MASPIKA WASTAAFU

Katika Mkutano huu wa Kumi na Nane wa Bunge kutakuwa na shughuli ya kukabidhi Majoho kwa Maspika Wastaafu Mheshimiwa Pius Chipanda Msekwa, Mheshimiwa Samuel John Sitta (Marehemu) ambapo Joho alilotumia litapokelewa na Mke wake Mheshimiwa Margaret Simwanza Sitta kwa niaba ya familia, na Mheshimiwa Anne Semamba Makinda. Shughuli hii itafanyika katika Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kumi na Nane wa Bunge tarehe 28 Januari, 2020 mara baada ya Kipindi cha Maswali.

2.0 MASWALI

Katika Mkutano huu wa Kumi na Nane, wastani wa maswali 125 ya Kawaida yanatarajiwa kuulizwa na Wabunge. Aidha, wastani wa maswali 16 ya papo kwa papo kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu yanatarajiwa kuulizwa kwa siku za Alhamisi tarehe 30 Januari, na 6 Febuari, 2020.

3.0 MISWADA YA SERIKALI

Bunge pia linatarajia kujadili na kupitisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.8) wa Mwaka 2019 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.8) Bill, 2019] na Muswada wa Sheria ya Usuluhishi wa Mwaka 2020 (The Arbitration Bill, 2020).

4.0 TAARIFA ZA KAMATI

Katika Mkutano wa Kumi na Nane wa Bunge, Kamati za Kudumu za Bunge 15 zitawasilisha Taarifa za Mwaka za kazi za Kamati hizo kwa mujibu wa masharti ya Kanuni ya 117(15) ya Kanuni za Bunge:-

i. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali;

ii. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa;

iii. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma;

iv. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti;

v. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira;

vi. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu;

vii. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini;

viii. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii;

ix. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji;

x. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii;

xi. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI;

xii. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo;

xiii. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria;

xiv. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa; na

xv. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama.

Ratiba yote ya Mkutano wa Bunge inapatikana katika Tovuti ya Bunge ambayo ni www.parliament.go.tz.

Chanzo: www.bunge.go.tz



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.