• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mpango wa Shule salama mwarobaini wa mdondoko wa wanafunzi

Imewekwa tarehe: August 20th, 2024

OR-TAMISEMI

Naibu Waziri anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainab Katimba amesema Serikali imekuja na Mpango wa Shule Salama kwa shule za Msingi na Sekondari ambao ni shirikishi na jamaii ili kudhibiti mdondoko wa wanafunzi.

Mhe. Katimba ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo kwa Wenyeviti wa Bodi za Shule za Sekondari, Maafisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya Kata pamoja Maafisa Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii ngazi ya Mkoa kuhusu Mpango wa Shule Salama na Usimamizi wa Usalama wa Jamii katika chuo cha Patandi mkoani Arusha leo tarehe 18.08.2024.

Amesema Serikali imekwishafanya jitihada za kudhibiti mdondoko wa wanafunzi ikiwa ni pamoja kutoa Elimu bila Ada ili kupunguza vikwazo katika uandikishaji wa wanafunzi, kujenga shule za Msingi na Sekondari karibu na makazi ya wananchi ili kupunguza adha kwa wanafunzi kutembea umbali mrefu, Kuimarisha mifumo ya utambuzi wa wanafunzi ambao wapo kwenye hatari ya kuacha shule, Kuimarisha utaoaji wa huduma na ushauri na unasihi pamoja na Kuandaa Mwongozo wa kuwarejesha Shule Wanafunzi walioacha Shule.

Mhe. Katimba ameongeza kuwa pamoja na jitihada hizo changamoto ya mdondoko wa wanafunzi katika Shule za Msingi na Sekondari haijakwisha kabisa na Kasi ya kupungua kwa idadi ya wanafunzi wanaocha shule haijakwisha kabisa.

“Uchambuzi wa sababu za kutokwisha kwa mdondoko wa wanafunzi unaonesha kuwa mazingira yasiyo salama kwa wanafunzi wakiwa shuleni na wakati wa kwenda na kurudi shuleni yanachangia kwa kiasi kikubwa kutokushuka kwa kiwango cha mdondoko wa wanafunzi”.

Ili kuweka mazingira ya shule yaliyosalama Serikali iliona ni vyema kuja na mkakati mpya unaojulikana kama Mpango wa Shule Salama katika Shule za Msingi na Sekondari nchini.

Serikali imedhamiria kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji kwa Kuimarisha ushiriki wa wazazi/walezi na Jamii katika kusimamia ufundishaji na ujifunzaji pamoja na mahudhurio ya wanafunzi’.

Kuimarisha mifumo ya kupokea na kushughulikia malalamiko ya wanafunzi katika Elimu ya Msingi na Sekondari na

Kuimarisha utoaji wa huduma ya Chakula na Lishe kwa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.