• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mwenge wa Uhuru 2024 Wilaya ya Dodoma kukimbizwa kwenye miradi yenye thamani ya shilingi Bilioni saba

Imewekwa tarehe: July 3rd, 2024

MWENGE wa Uhuru mwaka 2024 utatembelea, kuzindua na kuweka jiwe la msingi jumla ya miradi saba yenye thamani ya shilingi 7,096,668,714.32 wilayani Dodoma.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri alipokuwa akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Gerald Mongela mapema leo katika uwanja wa michezo wa Shule ya Sekondari John Merlin iliyopo Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Alhaj Shekimweri alisema “ninakiri kwa dhati ya moyo wangu kuupokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwako Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Gerald Mongela. Aidha, ninakiri kumpokea Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa ndugu Godfrey Mnzava pamoja na wenzake watano. Mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani Dodoma utatembelea miradi saba yenye jumla ya shilingi 7,096,668,714.32. Vilevile, Mwenge wa Uhuru utapata nafasi ya kusalimia kongamano la vijana. Nikuhakikishie kwamba Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Dodoma tutautendea haki kwa kukimbia nao kama ratiba ilivyopangwa”.

Awali akikabidhi Mwenge wa Uhuru, Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Gerald Mongela alisema “nakukabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri, Mwenge huu ukiwa unawake, unameremeta na unapendeza sana. Aidha, ninakukabidhi na itifaki ya wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa sita wakiwa na afya njema wakiongozwa na Godfrey Mnzava”.

Alisema kuwa Mwenge wa Uhuru ukiwa ndani ya Wilaya ya chemba, ulikimbizwa bila kusimama umbali wa kilometa 163 ukitembelea, kukagua na kuweka jiwe la msingi kwenye miradi sita yenye thamani ya shilingi 1,293,815,620. Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Chemba umeacha alama kubwa, aliongeza.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.