• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Naibu Waziri Mavunde ataka vijana kushirikishwa mikakati ya mapambano ya maambukizi mapya ya VVU

Imewekwa tarehe: January 25th, 2020

NAIBU Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde ameitaka Tume ya Kupambana na Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS) na wadau mbalimbali wa masuala ya VVU na UKIMWI kuwahusisha Vijana katika kupanga mbinu za kukabiliana na ongezeko la maambukizi mapya ya VVU kwa kundi la Vijana ambapo kwa miaka ya hivi karibuni inaonesha kundi kubwa la Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 limeathirika zaidi ambapo zaidi ya 40% ya maambukizi mapya yanawagusa Vijana katika kundi hilo.

Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo leo Jijini Dodoma wakati akitihimisha mdahalo uliohusisha wanafunzi wa Vyuo Vya Elimu ya Juu na Elimu ya Kati juu ya mbinu mpya za kupambana na maambukizi mapya kwa Vijana, ambapo amesisitiza juu ya ushiriki wa Vijana katika kila ya mkakati wa kusaidia kutatua changamoto hii kwa Vijana ambapo kwa sasa takribani watu 200 wanapata maambukizi mapya kwa siku na 80 wakiwa ni Vijana huku 63 wakiwa ni wasichana.

"Njia hii ya majadiliano ya kuwahusisha Vijana kwenye mambo yanayowahusu wao na maslahi yao ndio njia sahihi, Vijana wapewe nafasi kutoa mapendekezo na mbinu sahihi za kutatua tatizo hili la maambukizi mapya kwa Vijana kwa kuwa wanajua zaidi mazingira yao kuliko mtu mwingine. Tuondokane na utaratibu wa kuwaamuria vijana katika mambo muhimu pasipo ushiriki wao" Alisema Mavunde

Akitoa Maelezo ya awali, Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Leonard Maboko amebainisha mikakati mipya ya kuwafikia Vijana kupitia matamasha ya burudani ambapo hutumia fursa hiyo kutoa Elimu kwa Vijana juu ya kujikinga na maambukizi ya VVU na pia kupata muda katika vipindi vya masomo Chuoni kutoa elimu kwa Vijana.

Picha za matukio mbalimbali:






Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.