• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Rais Dkt. Samia ataka wanawake kushirikishwa kuleta maendeleo

Imewekwa tarehe: December 1st, 2022

RAIS wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikaliitaendelea kuwashirikisha wanawake kwa kuhakikisha inatanua mtandao wa wanawakekatika sekta mbalimbali.  

Rais Dkt. Samiaamesema hayo leo katika Kongamano la Nne la Wanawake Vijana wa Mtandao waViongozi Wanawake Barani Afrika (African Women Leaders Network – AWLN)lililofanyika Zanzibar.

Aidha, Rais Dkt. Samiaamesema lengo la kuwashirikisha wanawake ni kuweza kufikia Ajenda ya 2030 yaMaendeleo Endelevu, Ajenda ya Umoja wa Afrika ya 2063 pamoja na Dira yaMaendeleo ya Tanzania ya 2025.

Rais Dkt. Samia piaamesema maendeleo ya wanawake yamekuwa yakiathiriwa na changamoto mbalimbalikama kutokupata rasilimali, kutengwa, kutokupata haki zao na kutokupewa nafasikatika kufanya maamuzi.

Vilevile, Rais Samiaamesema takwimu zinaonesha kuwa mwaka 2021 idadi ya wanawake walioajiriwailishuka ambapo wanawake milioni 45 duniani waliondoka katika ajira mwaka 2021na hivyo kuwafanya kuwa maskini zaidi.

Hata hivyo, Rais Dkt. Samiaamesema Tanzania inafanya jitihada ya kuwashirikisha wanawake katika vyombo vyakufanya maamuzi akitolea mfano kuongezeka kwa idadi ya Wabunge kutoka 21.5%mwaka 2005 hadi 37% mwaka 2022 na Mawaziri 9 katika Baraza la Mawaziri.

AWLN ni mtandao ambaounataka kuhakiksha kuwa wanawake wana sauti katika nyanja zote za maisha kwakutekeleza Malengo Endelevu ya Umoja wa Mataifa na kufikia Malengo ya AU yakufikia Afrika tunayoitaka.

Matangazo

  • Salamu za heri ya kumbukizi ya kuzaliwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan January 27, 2023
  • Taarifa kwa Umma January 17, 2023
  • Salamu za heri ya siku ya Mapinduzi ya Zanzibar January 12, 2023
  • Heri ya siku ya Mapinduzi ya Zanzibar January 12, 2023
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Ni bajeti ya wafanyakazi – Katibu Gondwe

    January 19, 2023
  • Jiji lakadiria kukusanya Bilioni 128

    January 19, 2023
  • Vyama vya Siasa hamasisheni ulipaji kodi – Prof. Mwamfupe

    January 19, 2023
  • Jiji kinara kutenga fedha za lishe

    January 19, 2023
  • Angalia zote

Video

Bwawa la Mtera kuhudumia Dodoma
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    3 CDA Street

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.