• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC Mtaka ataka wafugaji Dodoma wanufaike na Ranchi ya Kongwa

Imewekwa tarehe: June 8th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka ameahidi kukutana na uongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi ili kujadilia namna ya kuwawezesha Wafugaji wa Mkoa wa Dodoma kunufaika na shamba la Serikali lililopo Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma maarufu kama 'Kongwa Ranch'.

Mhe. Mtaka amesema atazungumza na Wizara ya Mifumo na Uvuvi ili wawapatie Wakulima wa Dodoma, vitalu vya ardhi kwenye shamba hilo la Mifugo la Serikali lenye ukubwa wa Hekta 38,000 (sawa la Ekari 95,000) kwa utaratibu wa kukodisha ili wakulima hao waweze kupata maeneo ya kuendeshea shughuli za ufugaji wa kisasa na uoteshaji malisho ya mifugo.

Aidha, Mhe. Mtaka amesema kuwa kiaumbele chake katika sekta ya ufugaji kwenye Mkoa wa Dodoma ni kuendesha ufugaji bora, wa kisasa, wenye tija na mazao ya mifugo kama vile Nyama, Maziwa, Ngozi, Pembe na kwato.

Mtaka ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii alipokuwa akifungua mkutano wa Wafugaji wa Mkoa wa Dodoma katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Wafugaji hao katika risala yao waliyoisoma kwa Mkuu wa Mkoa Mtaka, wamemlalamikia kukabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maeneo ya kufugia na maeneo ya malisho na kwamba maeneo mengi yaliyopo yana changamoto ya migogoro ya mipaka, ukosefu wa mipango ya matumizi bora ya ardhi, ukosefu wa huduma muhimu kama maji na majosho ya kuogeshea mifugo.

Akisoma risala ya Wafugaji, Katibu wa Chama cha Wafugaji wa Dodoma, Reginaldo Lubeleje amesema kuwa baadhi ya maeneo ya ufugaji na malisho yamekuwa yakivamiwa kwa shughuli za kilimo. Aidha, wafugaji bado wana ukosefu wa elimu ya kutosha ya ufugaji bora na kuongeza kuwa kwa hapa Dodoma lipo shamba kubwa la mifugo la Serikali Wilayani Kongwa (Kongwa Ranch) lakini halina mchango katika kuwasaidia wafugaji wa Dodoma na kubadili aina ya ufugaji wao kuwa bora na wa kisasa.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.