• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali inatambua umuhimu wa uzio kwenye shule za bweni za nchini kwaajili ya usalama

Imewekwa tarehe: May 23rd, 2024

NAIBU WAZIRI Ofisi ya Rais Tamisemi anayeshughulikia Elimu, Zainabu Katimba (Mb) amsema Serikali inatambua umuhimu wa uzio kwenye shule za bweni za wasichana nchini kwaajili ya usalama wa mali na wanafunzi zikiwemo shule za Halmashauri ya Wilaya ya Urambo.

Aidha, kwa sasa kipaumbele cha serikali ni ujenzi wa miundombinu ya msingi inayowezesha wanafunzi wote kupata fursa ya elimu.

Katimba amesema hayo Bungeni Jijini Dodoma  katika kipindi cha maswali na majibu, wakati akijibu swali Mheshimiwa Jacqueline Kainja Andrew, Mbunge wa Viti Maalumu Mbunge wa Viti Maalumu alieuliza Je, kuna mpango gani wa kujenga uzio kwenye Shule zote za Bweni za Wasichana Wilayani Urambo.

“Serikali itapeleka shilingi bilioni 2.4 katika Jimbo la Urambo kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali yakiwemo madarasa 16, mabweni 8 na matundu ya vyoo 20 katika shule mbili za sekondari mpya za kata katika Kata ya Nsenda kijiji cha Mtakuja na Kata ya Ukandamoyo kijiji cha Tumaini. Aidha, kwa mwaka 2024/25 zimetengwa jumla ya shilingi milioni 110 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya walimu ya“two in one”  ambayo itajengwa katika Kata ya Uyogo”Katimba.

Aidha Katimba amemelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Urambo kufanya Tathimini na kuweka katika mipango ya kibajeti inayotokana na Mapato ya Ndani ya Halmashauri  kutenga fedha kwaajili ya Ujenzi wa Uzio katika shule ya Sekondari Iyumbu. 

Amesema pia Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali itaendelea kutenga na kupeleka fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule za msingi na sekondari kulingana na vipaumbele vyake.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.