• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali yaingiza zaidi ya milioni 600 Kliniki ya Ardhi Dodoma

Imewekwa tarehe: December 18th, 2023

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kushirikiana na jiji la Dodoma imetoa Hati Miliki za ardhi 3,156 na kuwahudumia wananchi 7363 waliofika kwenye Kliniki ya Ardhi na kuongeza mapato ya Serikali zaidi ya Sh. Milioni 600.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda Desemba 12, 2023 wakati akitoa tathmini ya Kliniki ya ardhi iliyoendeshwa katika jijini Dodoma kuanzia Novemba 4, 2023 kutatua migogoro ya ardhi katika jiji hilo ili kutekeleza maelekezo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yambayo alielekeza Wizara kuhakikisha migogoro ya ardhi inapatiwa ufumbuzi.

Naibu Waziri Pinda amesema katika zoezi hilo, jumla ya maombi mapya 2,433 ya umilikishaji wa ardhi yamepokelewa huku namba za malipo (control No) 8,539 zimetolewa na kuingizia Serikali kiasi cha Sh. 691,250,626.90.

“Zoezi hili ni mpango wa Wizara unaoendeshwa nchi nzima kweye ofisi za ardhi za mikoa na halmashauri kwa lengo kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi, kutatua migogoro ya ardhi, kuwasogezea karibu wananchi huduma mbalimbali za sekta ya ardhi na kutoa elimu ya masuala yanayohusu ardhi” amesema Naibu Waziri Pinda.

Kwa upande wao wanufaika wa Kliniki hiyo Bw. Jerome Petro Mwenyekiti wa Mtaa wa Mahoma Makulu Kata ya Chawa na Bi. Asia Jabu Maalim kutoka Barabara ya 7 kata ya Madukani wamesema Kliniki hiyo imewasaidia wananchi wa Dodoma kwa kupata huduma kupata hati za viwanja vyao tofauti na hali ilivyokuwa kabla ya kliniki hiyo.

Aidha, wananchi hao wamepongeza uongozi wa Wizara na timu ya mkoa huo kwa kuwasogezea huma hiyo ndani ya jiji la Dodoma na kuwasaidia watu wengi kutatuliwa changamoto za migogoro ya ardhi katika maeneo yao.

Kwa kuzingatia umuhimu wa kutatua migogoro ya ardhi kwa wananchi, wakati wote wa zoezi hilo, viongozi wa Wizara kwa kushirikiana Uongozi wa Mkoa wa Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.