• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali yatoa bilioni 5 za maji Dodoma

Imewekwa tarehe: May 5th, 2021

JUMLA ya Shilingi bilioni tano zimetolewa na Serikali kwa ajili ya kutatua na kupunguza adha ya huduma ya maji katika Mkoa wa Dodoma.

Fedha hizo zimetumika kuboresha miundombinu ya maji, pamoja na uchimba visima vya ziada vya maji.

Hayo yamebainishwa Jijini Dodoma na Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso wakati wa ziara ya Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji ya kukagua hali ya upatikanaji wa maji katika jiji la Dodoma na Wilaya ya Chamwino.

Mhe.Aweso amemshukuru Rais Samia kwa kuwapatia Sh Bilioni Tano kwa ajili ya miradi ya maji mkoani Dodoma huku akieleza hadi sasa tayari washachimba visima 10, vitatu kati ya hivyo vikiwa ni vikubwa na kimoja kitakua na uwezo wa kuchukua Lita Laki Nne kwa saa.

 “Visima 10 tayari vimeshachimbwa ikiwamo vitatu vikubwa na Wizara ya maji imeanza kutathmini mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria hadi mkoani Dodoma na pia mradi wa bwawa la Farkwa nao upo kwenye hatua ya kuanza utekelezaji wake, lengo ni kuhakikisha Dodoma inakuwa na maji ya kutosheleza,” amesema Aweso.

” Kwanza niishukuru Kamati yetu ya kudumu ya Bunge kwa kutembelea na kukagua miradi yetu, niwatoe hofu serikali kupitia Wizara yetu ya Maji tunashughulikia kwa karibu changamoto ya maji Mkoa wa Dodoma na tayari tumeshaanza mikakati ya kuvuta Maji kutoka Ziwa Viktoria ambapo tunaamini na Bwawa letu la Farkwa likikamilika basi shida itakua imeisha Dodoma

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Dkt. Christine Ishengoma, amebainisha kuwa kamati imeridhishwa  na jitihada zilizochukuliwa na Wizara pamoja na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kuhakikisha wanamaliza kero ya uhaba wa maji.

“Hatua mnazozichukua ni nzuri na zinatia moyo tunaamini kuwa tutapata maji ya kutosha katika Jiji la Dodoma na Mkoa wa Dodoma kwa ujumla,” amesema Dkt.Ishengoma

Awali, Mkurugenzi wa DUWASA, Mhandisi Aron Joseph, amebainisha kuwa miongoni mwa miradi inayotekelezwa ni ujenzi wa tenki la kuhifadhia maji la Buigiri Wilaya ya Chamwino lenye uwezo wa kuhifadhi lita za ujazo milioni 2.5 ambazo zitahudumia Wilaya yote, eneo la Ikulu na mji wa kiserikli.

“Mradi huu ulikuwa na thamani ya Sh.Bilioni 2.5 lakini umetekelezwa kwa Sh.Milioni 998 kwa maelekezo ya Wizara kwamba tuhakikishe tunapunguza gharama za utekelezaji wa miradi na tumefanikiwa kwa kuwa tupo asilimia 98 ya utekelezaji wa mradi huu wa tenki,” amesema.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.