• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Serikali za EAC kuendelea kukuza sekta ya michezo

Imewekwa tarehe: December 6th, 2021

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali za nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  zitaendelea kuchukua hatua za makusudi za kukuza michezo ndani ya jumuiya hiyo.

Amesema kuwa hivi sasa, sekta ya michezo imekuwa chanzo kikubwa cha biashara, utalii, kuimarisha afya na ajira kwa vijana.

Amesema hayo leo (Jumatatu, Desemba 06, 2021) wakati wa akifungua mashindano ya 11 ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Jijini Arusha.

“Nitoe wito tuendelee kutumia majukwaa ya namna hii kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusu namna bora ya kuimarisha ushirikiano wetu kwa ajili ya mustakabali na manufaa makubwa ya wananchi wetu”

Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa michezo hiyo lengo lake kuu ni kuimarisha mahusiano na kuifanya jumuiya ya Afrika Mashariki kuwa imara zaidi “Majukwaa ya namna hii yamekuwa chachu ya kuleta mwamko mkubwa wa masuala ya sanaa, burudani na michezo ndani ya jumuiya”

Pia, Waziri Mkuu amewasihi wabunge hao waendelee kuimarisha ushiriki wao kwenye masuala ya michezo kwani imekuwa na mchango mkubwa katika kuimarisha afya na hivyo kusaidia kupambana na magonjwa yasiyoambukiza. “Kwa hiyo, nitoe rai kwa Bunge la Afrika Mashariki kusimamia kwa karibu ushiriki wa michezo kwa wabunge na hata wananchi wa Jumuiya yetu”

Kaulimbiu ya Mashindano hayo ni “Strengthening Integration through Inter-Parliamentary Games in the Covid-19 era" yaani kuimarisha masuala ya mtangamano katika kipindi hiki cha UVIKO-19 kupitia Mashindano ya Mabunge ya Jumuiya.

Awali, Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Martin Ngoga, amesema kuwa moja ya lengo la michezo hiyo ni kujenga mshikamano wa kibunge na kuendeleza mahusiano ya kibunge katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Naibu Spika wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson amesema kama mashindano hayo yatasaidia kuongeza umoja kama nchi za Afrika Mashariki ambao wameamua kuwa wamoja “pamoja na mashindano haya watapata fursa ya kujadiliana na hatimaye kuja ma mambo ambayo tutawashauri viongozi wa nchi zetu juu ya ustawi wa wananchi wetu”

Katibu Mkuu wa Jumuiya Afrika Mashariki Dkt. Peter Mathuki amesema kuwa michezo hii ni sehemu ya jitihada za Jumuiya hiyo kuiunga mkono Tanzania wakati inaadhimisha miaka 60 ya Uhuru “mbali na hilo Mheshimiwa Waziri Mkuu nikuhakikishie kuwa Jumuiya yetu ipo imara na inakuwa kwa kasi sana na hii ni sababu ya ushirikiano tunaoupata kutoka kwa viongozi wa nchi”

Chanzo: Ofisi ya Waziri Mkuu

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.