• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Shule ya Sekondari Bihawana Kufanyiwa Ukarabati Mkubwa

Imewekwa tarehe: January 31st, 2018

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amesema serikali imeamua kukarabati shule ya Sekondari ya Bihawana ili kuweka katika mazingira bora ya mwanafunzi kujifunzia.

Waziri Jafo ameyasema hayo wakati wa ziara yake katika shule ya Bihawana iliyopo katika Manispaa ya Dodoma na kukagua miundombinu ya shule hiyo kabla ya ukarabati mkubwa unaotarajia kuanza hivi karibuni. Katika ziara hiyo Waziri Jafo alifuatana na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Dodoma Prof. Davis Mwamfupe, Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Bi. Hidaya Maeda na maafisa wengine.

Akielezea lengo la ziara yake Waziri Jafo amesema ni kukagua uchakavu wa majengo wanayotumia wanafunzi na kupata maelezo kutoka kwa Mhandisi Mshauri kile wanachotarajia kufanya baada ya kufanya tathmini ya kina juu ya kinachohitajika katika kazi ya ukarabati wa shule hiyo.

Waziri Jafo amesema baada ya kufanya ukaguzi wa maeneo mbalimbali ya shule amegundua kuwa kunauchakavu mkubwa wa mabweni, ofisi ya waalimu, madarasa, bwalo, jiko na pia uchakavu mkubwa kwenye vyoo pamoja na ukosefu wa maji katika shule hiyo.

Waziri Jafo amesema serikali imepanga kuibadilisha shule ya Sekondari ya Bihawana na kuwa ya kisasa ili kuwa kivutio kwa wazazi kuwaleta watoto wao katika shule za Sekondari,na kuwafanya wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga hapo kuona fahari kupata Elimu yao katika mazingira bora na rafiki kwa kujifunzia.

“Ninataka kuibadilisha shule ya Sekondari ya Bihawana kuwa shule yenye Kuvutia kiasi ambacho Walimu watafanya kazi katika mazingira bora, watumishi wa hapa na wanafunzi pia na zaidi wale wanafunzi waliosoma hapa miaka ya nyuma wakija shuleni hapa wapotee kwa kukuta mazingira tofauti na yale waliyo yaacha” amesema Jafo.

Shule hii iko katika mpango wa Serikali wa Uboreshaji miundombinu ya Shule kongwe 89 na Shule hii inaanza kukarabatiwa katika awamu ya pili ya mpango huu na Ukarabati huo utagharimu zaidi ya shilingi Bilioni 1.2.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.