• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Simamieni nguzo nne zilizoasisiwa na Rais Dkt. Samia - Meya Prof. Mwamfupe

Imewekwa tarehe: February 5th, 2023

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

DIWANI wa Kata ya Madukani, Prof. Davis Mwamfupe ametoa rai kwa kata yake kuwa mfano katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kusimamia nguzo nne zilizoasisiwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kauli hiyo aliitoa katika kikao baina ya viongozi waandamizi wa chama hicho iliwa ni maadhimisho ya miaka 46 ya kuzaliwa CCM kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kata ya Madukani jijini hapa.

Prof. Mwamfupe ambae pia ni Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma alisema “viongozi wa Kata ya Madukani hatuna budi kuzielewa na kuzizingatia nguzo nne zinazotumiwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika utekelezaji wa majukumu yetu ili kuyafikia mafanikio na kuwa na maendeleo endelevu. Rais amebainisha kuwa nguzo hizo zikitumiwa kwa usahihi zinaweza kutupa mafanikio ya kisiasa na kiuchumi. Nguzo hizo ni maridhiano, ustahimilivu, mageuzi na kuijenga upya Tanzania”.

Akifafanua nguzo ya maridhiano, alisema kuwa inawataka watanzania kuwa pamoja. 

“Bila kujali tofauti zao za kisiasa, kuhakikisha utawala wa sheria, usawa na kutobaguliwa, fursa sawa kwa wananchi wote kujiendeleza kibinafsi, jamii na taifa kwa ujumla” alisema Prof. Mwamfupe.

Akiongelea imani ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alisema kuwa anaamini maridhiano hayawezi kupatikana mahali ambapo pana ubaguzi. “Maridhiano hayapo mahali ambapo kuna wanaokosa fursa na haki zao za kiuchumi na kiraia. Rais ana sisitiza kama taifa ni muhimu kuzitumia nguzo hizo nne katika kusukuma maendeleo” alisepa Prof. Mwamfupe.

Awali Afisa Mtendaji Kata ya Madukani, Neema Komba alisema kuwa kata yake inamitaa mitano ambayo ni Massi, Suluhu, Jamali, Kamili na Relini ambayo imeshiki katika kufanikisha maadhimisho ya miaka 46 ya kuzaliwa CCM.

Maadhimisho ya miaka 46 ya kuzaliwa kwa CCM katika Kata ya Madukani yalitanguliwa na tukio la kutembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma kusalimia wagonjwa, kuwapa neno la faraja na kuwapatia zawadi mbalimbali.

 





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.