• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Simamieni vizuri fedha zilizotolewa na Rais Samia kujenga shule- Mhe. Katimba

Imewekwa tarehe: July 13th, 2024

Na. James K. Mwanamyoto

NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Mhe. Zainab Katimba amewataka wasimamizi wa utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa shule za Sekondari maalum 26 za wasichana za mikoa, kuhakikisha wanasimamia vizuri matumizi ya fedha zilizotolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kujenga shule hizo ili ziwe na viwango bora vitakavyowawezesha wanafunzi kusoma katika mazingira mazuri.

Mhe. Katimba ametoa maelekezo hayo kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa, alipoitembelea Shule Maalum ya Wasichana ya Mkoa wa Kigoma kwa lengo la kujiridhisha na kiwango cha ujenzi wa shule hiyo ambayo imejengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza.

“Nimeridhishwa na kiwango cha ujenzi wa shule hii Maalum ya Wasichana ya Mkoa wa Kigoma ambayo ilipokea fedha za Mhe. Rais Samia kiasi cha shilingi bilioni 3 katika awamu ya kwanza awamu ya kwanza shilingi bilioni 3 na awamu ya pili itapelekwa bilioni 1.1,” Mhe. Katimba ameeleza.

Aidha, Mhe. Katimba ametoa wito kwa Wakurugenzi wengine wa Halmashauri nchini wanaosimamia Ujenzi wa Shule za Sekondari Maalum za Wasichana katika mikoa mingine, kuhakikisha wanatenga fedha kwa ajili ya kuendeleza miundombinu hiyo ya shule iliyojengwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kuunga mkono jitihada zake.

“Tunamshukuru sana Mhe. Rais, na ni wazi kuwa anafanya jitihada za makusudi ambazo zinazoonekana na ushaidi ni hii shule Maalum ya Wasichana ya Mkoa wa Kigoma yenye maabara, mabwalo, mabweni, madarasa na nyumba za walimu zenye viwango bora kabisa,” Mhe. Katimba amesisitiza.

Kwa upande wake Bw. Khamis Rajabu ambaye ni Mkazi wa Uvinza mkoani Kigoma amemshukuru na kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa shule hiyo ya wasichana mkoani kigoma, ambayo imetatua changamoto iliyokuwa ikiwakabili ya watoto wa kike kukosa shule ya sekondari yenye viwango bora.

Naye, Odetha Denis ambaye ni Mwanafunzi wa Shule Maalum ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Kigoma, amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua thamani ya watoto wa kike na kuwajengea shule maalum kwa ajili yao.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.