• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Sitaki kuona Mwalimu akinyanyasika- Waziri Mchengerwa

Imewekwa tarehe: August 13th, 2024

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amepiga marufuku vitendo vya udhalilishaji dhini ya walimu napiga marufuku na kusisitiza kuwa kuanzia sasa nataka aone walimu wakiwa na furaha.

Mhe. Mchengerwa ameyasema hayo jijini Dodoma wakati wa kukabidhi magari kwa makatibu wasaidizi wa Tume ya Utumishi wa Walimu yaliyokabidhwa katika mji wa Serikali Mtumba.

Alisema Rais Samia Suluhu Hassan hataki kusikia walimu wanapata changamoto yoyote.

“Mimi mwenyewe kama Waziri mwenye dhamana kwenye sekta hii nataka nione walimu wanafuraha wakati wote, nataka nione walimu wakifurahia serikali yao wakati wote.

“Katika kipindi changu hiki sitegemei kuona mwalimu akinyanyaswa mwalimu akionewa kwasababu ambazo mtendaji katika eneo hilo anafanya yenye mwenyewe makusudi.”


Mchengerwa aliongeza: “nawataka wakurugenzi wasaidizi, makatibu wasaidizi wa Tume ninao wakabidhi magari leo nendenei mkafuatilie yanayoendelea kwenye maeneo yenu.”


“Kama kuna vitendo vya udhalilishaji dhini ya walimu napiga marufuku kuanzia sasa nataka tuone walimu wakiwa na furaha.”

“Huu ni ujumbe wangu kwa walimu kote nchi serikali inayoongozwa na Rais Samia anatamani kuona kila mtumishi ndani ya TAMISEMI anafurahi na kutabasamu, nendeni mkatibu kero za walimu, nendeni mkamalize changamoto za walimu.”

Aidha, Mchengerwa ameielekeza Tume kuwa karibu na walimu na kuwasikiliza na kutatua kero zao.

“Tume kazi yake ni kukaa na walimu na katika kipindi changu sitegemei kusikia mwalimu anamsongo wa mawazo hamjamfikia, msisubiri mimi nipigiwe simu.”

Aliseka kwa sasa Tume haina visingizio kwani imeshapata bodi na kusisitiza kuwa hataki kusikia mtumishi TAMISEMI ana hofu na serikali yake.

“Wenye zile kero ngumu ngumu wasaidie, sijui uhamisho kwa aliyekidhi vigezi shughulikieni, waliofukuwa washaurini taratibu za kufuata na msijiweke mbali na watumishi.”

Alisema kwa sasa amekuwa akipokea kero nyingi za walimu na kuitaka Tume kujitahidi kuzifanyia kazi kero za walimu kwa haraka.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.