• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Skauti 130 wapatiwa mafunzo kupambana na majanga

Imewekwa tarehe: April 9th, 2021

JESHI la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Dodoma limeanza kutoa Mafunzo ya Vitendo kwa vijana 130 wa Skauti Mkoa wa Dodoma lengo ni kuwajengea uwezo wa kuokoa, kuzuia na kukabiliana na majanga mbalimbali katika jamii ikiwemo, moto, mafuriko pamoja na ajali za barabarani.

Akifungua mafunzo hayo leo Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Dodoma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi Julishaeli Mfinanga amesema ni muda muafaka wa kutoa elimu kwa vitendo kwa vijana wa skauti ili kuwawezesha kukabiliana na majanga wawapo shuleni na hata katika jamii inayowazunguka.

Akizungumzia mafunzo hayo Kamishna wa Skauti Mkoa wa Dodoma, Salama Katunda, amemshukuru Kamishna Jenerali wa Jeshi hilo John Masunga kwa kuwapatia Wakufunzi wanaowezesha mafunzo hayo na kuahidi kusimamia na kuhakikisha mafunzo hayo kwa Vijana wa Chama cha Skauti yanaenda kuwa chachu kwa kuhakikisha majanga mbalimbali yanadhibitiwa ili kulinda maisha ya watu pamoja na mali zao.

Mafunzo hayo yatatolewa kwa muda wa siku 7 na Askari Wakufunzi kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Idara ya Maafa, Uongozi wa Chama cha Skauti ngazi ya Wilaya na Mkoa pamoja na taasisi nyingine za Kiserikali, ambapo yanafanyika katika Kijiji cha Champumba, Kata ya Chiboli, Tarafa ya Makang’ara, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma.

Aidha Mafunzo hayo ni mwendelezo wa makubaliano ya Februari 26 mwaka huu ambapo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji liliingia makubaliano ya Ushirikiano wa Programu ya Mafunzo kati ya Jeshi hilo na Chama cha Skauti Tanzania, kwa kutoa elimu kwa vijana wa Skauti nchini ili kuwajengea uwezo katika kukabiliana na majanga mbalimbali.

Kwa upande wake Mratibu wa Maafa toka Ofisi ya Waziri Mkuu, Sajini Yona Benjamin, amesema mafunzo hayo yametolewa muda muafaka ili kuendana na kasi ya ukuaji wa Jiji la Dodoma.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya Vijana wa Skauti wameeleza juu ya umuhimu wa mafunzo hayo katika kukabiliana na majanga wawapo shuleni na hata katika jamii zao na kulishukuru Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.