• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

TCU msikubali kutumika chapeni kazi - Prof Mkenda

Imewekwa tarehe: January 19th, 2023

WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda ameitaka Bodi ya tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kutokubali kutumika badala yake wafanye kazi kwa kuzingatia Sheria na kutenda haki katika kutekeleza majukumu yao.

Prof.Mkenda ameyasema Jijini Dodoma wakati akizindua bodi hiyo na kusema kuwa ina kazi kubwa ya kuwezesha na kudhibiti hivyo watumie nafasi hiyo kuifungua nchi katika sekta ya Elimu.

"Msiangalie mtu usoni nyinyi chapeni kazi kikubwa ni kuzingatia Sheria na kufanya kwa haki kwani bodi yenu ina kazi kubwa mbili ya kwanza kuwezesha na pili ni kudhibiti, sasa kazi ya kudhibiti ina lawama sana na lazima mkubaliane nazo,"

"Kazi yenu ina lawama sana hasa pale mnapotaka kutekeleza jukumu la kudhibiti hapo lazima mguse watu hivyo msiogope kwani kufanya hivyo itasaidia kuongeza ubora katika sekta yetu ya Elimu hasa Elimu ya vyuo vikuu ambayo ndio muhimili wa Taifa letu," Amesisitiza Mkenda

Waziri Mkenda pia ameitaka Bodi hiyo ya TCU kuhakikisha wanawezesha vyuo kufanya udahili na kuhakikisha elimu inayotolewa Vyuoni iwe bora na Ufaulu uwe mzuri ili kutengeneza taifa lenye watu wasomi wanaokidhi vigezo.

Pia Prof.Mkenda ameitaka Bodi hiyo kuwezesha utambuzi wa vyuo vikuu vya nje ya nchi ikiwezekana kwenda kufanya uchunguzi kuhusu ubora na nafasi ya vyuo hivyo katika nchi zao ili kuwasaidia vijana wa kitanzania wanapokwenda kusoma nje wasome katika vyuo bora na vyenye ushindani.

"Jaribuni kutambua vyuo vinavyofundisha wanafunzi wetu huko nje na mjaribu pia kufanya tafsiri ya elimu inayotolewa katika vyuo hivyo ili kuwawezesha wanafunzi wetu wanaomaliza huko nje na kurudi nyumbani waajirike tusiishie tu kuwapeleka alafu kwenye soko la ajira hatuwaoni,"amesema Prof.Mkenda

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Tume hiyo Prof.Penina Mlama amemhakikishia Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe.Prof Adolf Mkenda kuwa watatekeleza maelekezo yote aliyowaagiza iliwemo kuifungua nchi kimataifa kwa kuwapeleka wanafunzi wengi kusoma Vyuo vya nje ya nchi,Kuongezeka kwa kasi ya Udahil,kusimamia ubora wa elimu inayotolewa na kuhakikisha vyuo vikuu vinasimama imara kuhimili na kuyamudu mabadiliko yanayotokea duniani.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.