• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

'...tembeeni kifua mbele...' - JPM awaambia Watendaji wa Kata nchini

Imewekwa tarehe: September 2nd, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 02 Septemba, 2019 amekutana na Watendaji takribani 3,800 wa Kata zote hapa nchini katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Katika Mkutano huo, Mhe. Rais Magufuli amesikiliza maoni, changamoto na ushauri kutoka kwa Watendaji Kata wa Mikoa yote hapa nchini na kutoa majibu na maelekezo mbalimbali kwa watendaji na viongozi wa Serikali.

Mhe. Rais Magufuli amewapongeza Watendaji wa Kata kwa kuiwakilisha vizuri Serikali katika Kata zao na amewahakikishia kuwa Serikali inatambua na inathamini uwepo wao na majukumu wanayoyatekeleza.

Amewaagiza viongozi wa Wilaya, Mikoa na Wizara kuhakikisha Watendaji wa Kata hawanyanyaswi wakati wakitekeleza majukumu yao ya kusimamia ulinzi na usalama, maendeleo ya wananchi na kutekeleza maelekezo mbalimbali ya Serikali na kwamba hatosita kuchukua hatua dhidi ya viongozi na watendaji wakiwemo Maafisa Utumishi na Wakurugenzi wenye tabia ya kufanya unyanyasaji huo.

Hata hivyo, Mhe. Rais Magufuli amewataka Watendaji wa Kata kutowanyanyasa wananchi hasa wanyonge, kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria na taratibu na kuhakikisha wanawatembelea wananchi ili kusikiliza na kutatua kero zao badala ya wananchi hao kusubiri mpaka watembelewe na viongozi wa Kitaifa.

Amewataka kufuatilia na kutoa taarifa juu ya miradi yote ya maendeleo inayotekelezwa katika Kata zao katika sekta mbalimbali zikiwemo elimu, afya, maji, barabara na miundombinu mingine pamoja na kusimamia vizuri ardhi.

“Usikubali mradi unatekelezwa kwenye kata yako wewe hujui, na usikubali mradi uhujumiwe kwenye kata yako na wewe upo, ukiona fedha zinachezewa toa taarifa, Mtendaji wa Kata ndio mwakilishi wa Rais kwenye Kata yako, wewe ndio bosi kwenye kata” amesisitiza Mhe. Rais Magufuli.

Mhe. Rais Magufuli amewataka Watendaji wa Kata kuhakikisha wanawasimamia watumishi wote wa Serikali katika Kata zao, kujiepusha na vitendo vya rushwa na kushirikiana kwa karibu na Watendaji wa Vijiji katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya Serikali.

Katika michango yao, Watendaji wa Kata wamemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kuandika historia ya kuwaita kwa mara ya kwanza na kuzungumza nao ikulu Jijini DSM.

Chanzo: Kutoka mitandaoni


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.