• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tovuti za Hospitali zitangaze mambo mazuri yanayofanywa na hospitali zetu nchini

Imewekwa tarehe: September 30th, 2019

MKURUGENZI wa TEHAMA wa Wizara ya Afya Haji Bamsi ameshauri kutumia tovuti za hospitali zilizoanzishwa kutangaza kazi kubwa ya kuokoa maisha inayofanywa na hospitali.

Bamsi ameyasema hayo katika mafunzo ya siku tano ya utengenezaji wa tovuti za hospitali kwa maafisa TEHAMA wa hospitali za rufaa za mikoa na hospitali tano za Halmashauri za Wilaya yanayofanyika mjini Morogoro.

Amesema kuna mambo mengi ambayo yanafanyika katika vituo vya kutolea huduma za afya lakini hayapati nafasi ya kutangazwa katika vyombo vya habari.

"Vyombo vingi vya habari vimekuwa vinatangaza habari mbaya zaidi zinazotokea katika vituo vya kutolea huduma za afya na kuacha habari nzuri zinazoweza kuleta matokeo makubwa kwa wananchi" alikazia Bamsi.

Bamsi amesema kuwa "Tovuti hizi za hospitali zisaidie kutangaza mambo mazuri mengi yanayofanywa na hospitali ili yaweze kufahamika kwa wananchi ikiwemo kutoa elimu kwa umma katika masuala mbalimbali ya afya".

Kuna habari nyingi ambazo zinaendelea katika hospitali ikiwemo miradi mbalimbali ya afya, elimu ya magonjwa mbalimbali, kuelimisha kuhusu Bima ya Afya na CHF iliyoboreshwa, ambazo hazipati nafasi ya kutosha kutangazwa katika vyombo vya habari.

Akisisitiza zaidi amesema kuwa tovuti zilizoanzishwa zikitumika vizuri zitasaidia wananchi wengi kupata taarifa nyingi za afya ambazo pia zinaweza kusambazwa katika mitandao ya habari kutoka katika tovuti na kuwafikia wananchi wengi.

“Hatutaki kusubiri kutangaza habari  za hospitali kwa matukio mfano kuzaliwa watoto, hadi iwe siku ya sikukuu ndiyo zinatangazwa, wakati hopsitali zinafanyakazi kubwa ya kuzalisha watoto na kuokoa maisha ya watu kila siku" anasisitiza Mkurugenzi Bamsi.

Mafunzo ya utengenezaji tovuti za hospitali yameratibiwa na OR-TAMISEMI na  kuwashirikisha maafisa TEHAMA 65 kutoka katika hospitali za Rufaa za mikoa 28 na maafisa TEHAMA watano kutoka katika hospitali tano za Halmashauri nchini.

Chanzo: tovuti ya Halmashauri ya Songea


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.