• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Twende Butihama kumuenzi Baba wa Taifa

Imewekwa tarehe: October 4th, 2024

Na. Asteria Frank

WATU wasiopungua 90 washiriki kwenye msafara wa kuendesha baiskeili kutoka Dar-es-salaam na kwenda Butihama kwa lengo la kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere wawasili Jijini Dodoma katika shule ya  Msingi Dodoma Makulu.

Msafara huo wa Twende Butihama ulianza safari tarehe 30 Septemba  kutoka Dar-es-salam   na unatarajiwa kufika Butihama tarehe 13 Oktoba 2024, ukidhaminiwa na Vodacom Pamoja na Stanbic Bank walipokelewa na kukabidhi madawati 100 na kupanda miti katika shule ya Msingi Dodoma makulu.

Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma,  Kaspar Mmuya aliupokea vyema msafara huo wa Twende Butihama   na alisema kuwa,  upandaji miti  unaunga Falsafa ya kutunza mazingira  na utoaji wa madawati mashuleni  unaugana na Falsafa ya Mwl Julius Kambarage Nyerere ya kuangamiza uadui wa Maendeleo ikiwemo Ujinga,Umaskini na Maradhi.


Alisema kuwa, kitendo wanachofanya  ni kizuri kwa Tanzania cha kumuenzi  Baba Taifa kwa kuendesha Baiskeli kutoka Dar-es-salaam mpaka Butihama kinaonesha uzalendo “nimeambiwa safari hizi zimefanyika zaidi ya miaka sita huku mkisema tunamuenzi Baba wa Taifa  kwa  vitendo ni ukweli nimeona wakati ulivyokuwa unatambalisha hapa sio Tanzania tu ni zaidi ya Tanzania na hayo ndio Maisha alikuwa akiishi Mwl Julias Kambarage Nyerere hakuwa mbinafsi alikuwa anapenda Umoja” alisema Mmuya.

 Aidha, Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma  Fadhili Chibago alisema kuwa Jiji la Dodoma tumefarijika sana kwa kuwapokea Twende Butihama kwa baiskeli kwakuwa wamefanya kitu kizuri na  kwa zoezi la kupanda miti  kwa maana Mhe.Rais Dkt Samia Suluh Hassan na Makamu wa Rais wetu watamani Dodoma iendelee kuwa Kijani.

Alisema kuwa upandaji wa miti unaunganisha Falsafa ya viongozi wetu wa Nchi lakini pia kitendo cha hawa ndugu kuleta madawati yatawafanya watoto wakae na wanaposoma waelewe vizuri “ tunawashukuru na tuwakaribishe sana Dodoma kwakuwa Dodoma ni fahari ya watanzania na ni mahali pa kuishi pia zabibu nzuri inapatika huku karibuni sana” alisema  Chibago.

Naye Mwenyekiti  wa Msafara wa Twende Butihama Gabriel Landa alisema kuwa wanatarajia kufika Butihama  Oktoba 13 kwa lengo la kumuenzi Baba wa Taifa kwa vitendo na kwaajili ya kuadhimisha miaka 25 ya kumbukizi ya kifo cha Mwl. Julias Kambarage Nyerere tarehe 14 Oktoba.

Alisema kuwa Msafara huu umezingatia jinsi zote mbili ya  wanawake na  wanaume bila kusahau  Watoto chini ya miaka 20. Pia umejumuisha waendesha baiskeli   kati yao ni Tanzania Bara kama vile  Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Tabora, Mbeya, Iringa, Geita, Mwanza na  Katavi Pamoja na Tanzania Visiwani ambayo ni Uguja na Pemba sio hivyo tu tupo na Nchi Jirani kama Kenya, Burundi, Malawi na Congo.

“Kuna falsafa nyingi sana alituachia baba wa taifa na moja wapo ya kupambana na maadui watutu wa maendeleo kama Ujinga, Umaskini na Maradhi, tumekuwa tukifanya  hayo kwa kipindi chote  tangia tumeanza mwaka 2019  na kupitia wadau mbalimbali  tumeweza kukabidhi madawati zaidi ya 1000 katika shule zaidi ya 13 hadi kufikia mwaka jana lakini pia  tumeweza kupanda miti zaidi ya 50,000 na kuhamasisha watanzania kujali afya”  alisema Landa.

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Dodoma Makulu Amon Chalo Sebyiga alisema kuwa tunashukuru Twende Butihama kwa kutukabidhi madawati 100 kati ya madawati 212 yaliyo kuwa pungufu katika shule yangu.

Alisema kuwa makabidhio hayo yataenda kupunguza msongomano wa wanafunzi kukaa watu wa tano kwenye dawati moja “ jamii ya Dodoma Makulu  na watu wanaozunguka eneo hili  nawatakia safari njema ndugu zetu  waTwende Butihama” alisema Sebyiga.  






Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.