• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ujenzi wa Barabara yenye urefu wa kilomita 1.6 fursa kwa wananchi wa Kata ya Nala

Imewekwa tarehe: May 3rd, 2025


Na. Leah Mabalwe, NALA

Halmashauri ya Jiji la Dodoma ilitenga kiasi cha shilingi 2,431,050,561 kutoka mapato ya ndani kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 kwaajili ya mradi wa ujenzi wa barabara kutoka Hospitali ya Jiji mpaka barabara ya Singida yenye urefu wa kilomita 1.6 kwa kiwango cha lami.

Hayo yalibainishwa na Mhandisi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mhandisi Ally Bella alipokuwa akisoma taarifa ya ujenzi wa Barabara hiyo kwa Kamati ya Fedha na Utawala iliyofanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/2025. 

“Ujenzi huu wa barabara unajumuisha daraja kubwa la midomo mitatu pamoja na mingine minne ya duara. Pia utasaidia kwa kiasi kikubwa kwa wananchi ukizingatia katika barabara hii baadhi yao wanatoka sehemu mbalimbali kwaajili kufuata huduma za afya katika Hospitali ya Jiji na hii itarahisisha kutokana na miundombinu mizuri ya barabara na kuzifikia huduma za afya kirahisi” alisema Mhandisi Bella.

Pia alitoa shukrani kwa uongozi wa serikali ya awamu ya sita ikiongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta maendeleo katika sekta mbalimbali ikiwemo barabara. “Sambamba na hayo nitoe shukrani zangu za dhati kwasababu serikali ya awamu ya sita ipo katika kukuza maendeleo. Kata ya Nala ni miongoni mwa kata ambayo imepiga hatua kubwa na hii ni kutokana na maendeleo yanayoletwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kulikuwa na changamoto ya hospitali lakini baada ya kutatuliwa changamoto hiyo pia serikali ikaamua kutuletea mradi wa barabara ambapo wananchi wananufaika nao” aliongezea Mhandisi Bella. 

Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ulianza tarehe 29 Novemba, 2024, baada ya mkataba kusainiwa tarehe 20 Novemba, 2024, na mkandarasi akiwa ‘Kings Builders Limited’ kwa gharama ya shilingi 2,431,050,561 kwa muda wa siku 270 na Msimamizi akiwa ni Mhandisi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.