• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ushirikiano utaboresha huduma mnazozitoa - Dkt. Chaula

Imewekwa tarehe: March 7th, 2020

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Dkt. Zainab Chaula amewataka watumishi na uongozi wa Hospital ya Mirembe kuhakikisha wanatembea pamoja kwa kudumisha ushirikiano baina yao ili kuleta mabadiliko chanya ikiwemo kuboresha huduma zitolewazo na kuboresha stahiki za watumishi katika hospitali hiyo.

Dkt. Chaula amesema hayo leo wakati alipofanya ziara ya kutembeleo hospitali ya Mirembe na kufanya mazungumzo na watumishi ili kujadiliana namna gani watatatua changamoto walizonao katika maeneo yao ya kazi. "Tunatakiwa kukaa pamoja na tutembee pamoja wakati wote, ili kuleta mabadiliko katika Hospaital na taasisi yetu, tuache kulalamika maana sisi sote tulio hapa ndio Serikali yanyewe". Amesema Dkt. Chaula.

Kwa upande mwingine Dkt. Chaula ameagiza uongozi wa Hospitali ya Mirembe kuwa wabunifu kwa kuhakikisha wanasimamia miradi yao vizuri hali itakayosaidia kuongeza makusanyo ya mapato na kulelekea kuboresha huduma za afya na stahiki za Watumishi. "Hospitali inatakiwa iwe ya mfano hivyo mnatakiwa kuongeza jitihada na ubunifu katika utendaji wenu, ikiwemo usimamizi mzuri wa miradi, tunataka kuona mabadiliko  ili kuweza kusonga mbele", amesisitiza Dkt. Chaula.

Aidha, Dkt. Chaula ameagiza maboresho katika maabara, huku akiahidi kurudi baada ya wiki moja ili kuona mbaoresho yaliyofanywa, ikia ni seemu ya usimamizi na ufuatiliaji wa maboresho ya huduma zinazotolewa katika hospitali hiyo. Mbali na hayo, Dkt. Chaula ameto wito kwa watumishi katika hospitali hiyo kwenda katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma kujifunza baadhi ya mbinu na ubunifu wanaoutumia katika kuendesha baadhi ya idara zao ili kuleta mabadiliko ya haraka ikiwemo katika suala la ukusanyaji wa mapato.

Kwa upande mwingine, Dkt. Chulai ameto a wito kwa watumishi katika Hospitali hiyo kujiepusha na vitendo vya rushwa ili kutenda hadki kwa kutoa huduma kwa usawa kwa wagonjwa wote katika maeno ya kazi.

Picha na matukio:




Chanzo: wizara_afyatz

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.