• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Viongozi Jukwaa la Wanawake Jiji la Dodoma wawezeshwa mafunzo

Imewekwa tarehe: January 6th, 2025

VIONGOZI wa Jukwaa la Wanawake Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamewezeshwa mafunzo ya fursa za kiuchumi katika shughuli za biashara, kilimo, upatikanaji wa mitaji, sheria, ujasiriamali, matumizi ya teknolojia na mikopo ya asilimia kumi.

 Mafunzo hayo yalifanyika katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Dodoma kwa lengo la kuwakutanisha wananawake ili waweze kujadili fursa na changamoto mbalimbali wanazokutana nazo wakati wa utekelezaji wa shughuli za kiuchumi.

 Mwezeshaji wa mafunzo hayo, Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Hidaya Mizega, aliwataka wanajukwaa hao kufahamu majukumu yao na sheria katika kuwezesha mafunzo kwa wanawake wengi kwa kufahamu masuala ya uchumi.

 Alisema kuwa, viongozi hao wanajukumu katika mitaa na kata zao kuhamasisha shughuli za kiuchumi kwa kuibua miradi mikubwa na mizuri kupitia mikopo ya asilimia kumi ili kukuza ongezeko la uchumi kwa wanawake, kwa kufuata mwongozo mpya ambao umeboreshwa. “Wajumbe wa majukwaa ya uwezeshaji wa wanawake kiuchumi ngazi ya kata ni wale wanavikundi waliopo katika mtaa husika. Kwa mwongozo huu kama mwanamke hayupo kwenye kikundi basi huyo siyo mjumbe wetu. Lakini pia majukwaa haya tumeona kuna changamoto ya nauli na watu kutoka mbali. Hivyo, serikali ikasema hapana kwa maana hiyo vikao hivi vya jukwaa vimetiwa nguvu vifanyike katika ngazi za mitaa. Hivyo, basi, kazi ya kata na halmashauri ni kuratibu” alisema Mizega.

Nae, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake Kata ya Nkuhungu, Ashura Kimwaga, alisema kuwa, majukwaa hayo yanatakiwa kupewa nguvu katika kuwahamasisha wanawake kuibua miradi na kuweza kupata mikopo ya asilimia kumi kwa uharaka zaidi. “Tumekuwa tukiwasumbua sana maafisa maendeleo wa kata na bila kupata taarifa sahihi lakini leo tumepata majibu sahihi na kipi kinapelekea kuchelewa kupata mikopo. Hivyo, tumefurahishwa tulikuwa na kigugumizi lakini tumepewa 'data' kamili. Kwahiyo, tunatakiwa tuvute subira kwa sababu ina malipo” alisema Kimwaga.

Ikumbukwe kuwa, mafunzo hayo yaliwezeshwa kwenye kata 20 za Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

 

Aliongeza kwa kusema kuwa, kuchelewa kwa mikopo ya asilimia kumi ni kutokana wa mfumo wa benki kutokukamilika na kwa sababu Dodoma Jiji ipo kwenye utaratibu wa kutoa mikopo kwa majaribio kupita mfumo huo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.