• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vyuo vya Serikali vyatakiwa Kujiendesha Kibiashara

Imewekwa tarehe: December 11th, 2023

Na OR-TAMISEMI, Dodoma

Serikali imevitaka vyuo vyote nchini kujiendesha kibiashara badala ya kutegemea ruzuku ya fedha za matumizi yao kutoka Serikali Kuu.

Akihutubia katika mahafali ya 15 tarehe 07 Novemba, 2023 Hombolo nje kidogo ya Jiji la Dodoma Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (ELIMU) Deogratius Ndejembi ambaye alimwakilisha Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshiwa Kassim Majaliwa Majaliwa amevitaka vyuo vyote nchini kujiendesha kibiashara kwa kubuni vyanzo vya mapato ikiwa ni pamoja na kuwatatumia Watafiti wabobezi kufanya tafiti.

“Chuo hiki kinayo hazina ya Wabobezi wa fani mbalimbali fanyeni utafiti na kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kupunguza utegemezi, vilevile endeleeni kutenga fedha kupitia mapato ya ndani kwa ajili ya kuendeleza miradi ya maendeleo na shughuli nyingine zinazohusu ustawi wa chuo” alisema Mhe. Ndejembi.

Ndejembi pia alisema azma ya Mheshiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye alifanya kikao na Watendaji wa Taasisi mbalimbali nchini mwezi Agosti, 2023 ni kuona mashirika ya Umma yanaongeza tija katika uzalishaji na utoaji wa huduma bora kwa wananchi na kupunguza utegemezi wa ruzuku kutoka Mfuko wa Serikali Kuu.

“nasisitiza mashirika na Taasisi za Serikali ziendelee kubuni mikakati ya kuongeza mapato ili faida itumike kuendesha shughuli za Taasisi na kutoa gawio Serikalini, maelekezo haya yanahusu pia jumuiya ya chuo hiki, ongezeni kasi ya kuibua mikakati inayotekelezeka na yenye tija” alisema Ndejembi.

Ndejembi akijibu kuhusu kero ya kuwekwa lami barabara ya Ihumwa hadi Hombolo alisema tayari upembuzi yakinifu umefanyika lakini ameuagiza Wakala wa Barabara nchini (TANROAD) kufuatilia kwa karibu suala hilo ili kazi ianze kwa wakati baada ya kukamilika taratibu zote.

Akisoma risala kabla ya hotuba ya mgeni rasmi, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo (LGTI) Prof. Joseph Kusilwa alitoa ombi la kupatiwa fedha kwa ajili ya ujenzi wa majengo pacha ya kampasi ndani ya jiji la Dodoma baada ya kupata eneo la ilipokuwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ili kuondokana na adha ya kulipa kodi inayofikia shilingi

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.