• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wabunge wataka serikali itoe elimu zaidi kwa jamii kuhusu changamoto za Afya ya Akili

Imewekwa tarehe: May 9th, 2023

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameitaka Serikali kuweka kupaumbele zaidi kwenye kutoa Elimu na kufanya Kampeni za huduma ya afya ya akili nchini ili wananchi waweze kutambua tatizo hilo na kupata tiba stahiki.

Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya afya na masuala ya Ukimwi, Stanslaus Nyongo kwa niaba ya Wabunge wote walioshiriki kwenye Semina maalum ya utoaji Elimu ya Afya ya Akili, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) pamoja na Bohari kuu ya dawa (MSD) kwa Wabunge iliyofanyika Bungeni Jijini Dodoma.

“Ni vizuri Wizara ikawa na Kampeni maalum ya kutoa elimu ya afya ya akili ili watu wanapotaka kupata huduma za afya ya akili wajue pa kwenda” alisema Nyongo

Alisema kampeni hiyo inaweza kuratibiwa kupitia vituo vya ushauri wa masuala ya kitaalam kwa njia za simu (Call Centres), vitengo au vituo vya tiba kwa ajili ya kutibu changamoto za afya ya akili.

“Matangazo na Elimu zikitolewa itapunguza unyanyapaa ndani ya jamii, hali ya aibu itapungua kwakuwa watu watakuwa na uelewa na itawafanya watu kujitokeza kwenda kupata huduma hiyo katika vituo mbalimbali” alisema Nyongo.

Kwa upande wake Waziri wa Afya, Mwalimu alisema kuwa, Wizara itaendelea kusimamia huduma za matibabu ya afya ya akili nchini kwa kuboresha zaidi upatikanaji wa huduma hizo, huku akiwataka wananchi kutoogopa kujitokeza kupata huduma hizo kwa Wataalamu.

“Usione aibu kulia, kulia tiba ya afya ya akili, kwa changamoto ambazo tunapitia ni dhahiri kuwa wananchi wanapata sonona, wanakosa usingizi hizo zote ni changamoto na dalili za afya ya akili” amefafanua Waziri Mwalimu.

Alisema changamoto ya unyanyapaa kwa watu wenye matatizo ya afya ya akili ni kubwa na hii inaanza kupitia dhana ya mtu akiugua anapelekwa milembe na kuitwa ‘chizi’ ili hali ameenda kupata tiba kama sehemu nyinginezo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.