• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waganga Wakuu wa mikoa watakiwa kufuatilia utoaji wa huduma kwa wananchi

Imewekwa tarehe: May 3rd, 2023

NAIBU Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI (Afya), Dkt. Wilson Charles Mahera amewaelekeza waganga wakuu wa mikoa kushirikiana na wakurugenzi wa halmashauri kusimamia kikamilifu utaratibu wa mfumo wa ugavi kwenye bidhaa za afya.

Dkt. Mahera alisema hayo kwenye kikao kazi kilichowakutanisha Waganga Wakuu wa Mikoa na Wafamasia kilichofanyika jijini Dodoma.

Kikao hicho kimelenga kufanya tathimini ya ufuatiliaji na maendeleo katika utekelezaji na maboresho ya matumizi ya takwimu katika mikoa kupitia mbinu ya “Impact approach”.

“Sisi viongozi tuna jukumu la kusimamia timu za mikoa, halmashauri na za vituo vya kutolea huduma za afya ili viweze kuboresha upatikanaji wa bidhaa kupitia takwimu sahihi, maoteo ya bidhaa yaliyo sahihi na matumizi ya fedha kwa kuzingatia miongozo.”

Dkt. Mahera pia amewataka kuhakikisha wanatumia takwimu katika kufanya maamuzi hatua ambayo itasaidia kupunguza changamoto zinazotokana na usimamizi hafifu wa bidhaa hizo.

Pia amewataka kufanya ufuatiliaji wa utoaji wa huduma za afya katika vituo vya kutolea huduma za afya.

Aidha, Dkt. Mahera amesema Ofisi ya Rais-TAMISEMI inaendelea na mikakati kabambe ya kuhakikisha upatikanaji wa bidhaa za afya kwa asilimia 100.

“Tunamikakati ya kuhakikisha dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara unakua wa uhakika na kwa asilimia 100 ili kuondoa changamoto ya upatikanaji wa bidhaa za afya kwa wananchi.”

Dkt. Mahera pia amewaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wa bidhaa za afya katika vituo vya kutolea huduma za afya kwa kutumia takwimu.

“Hatua hii itasaidia kudhibiti upotevu na matumizi mabaya na kuimarisha matumizi sahihi ya nyenzo za mfumo wa ugavi wa bidhaa za afya.”

“Tunamshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha nyingi katika kumarisha utoai wa huduma za afya ngazi ya msingi.”

Dkt. Mahera ametumia fursa hiyo kukemea tabia ya wizi wa vifaa tiba ambao unafanyika katika baadhi ya vituo vya kutolea huduma za afya na kutolea mfano matukio ya wizi katika Hospitali ya Wilaya ya Bunda.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.