• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

WanaDodoma watakiwa kuiunga mkono timu ya Dodoma Jiji FC

Imewekwa tarehe: December 2nd, 2021

MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Mhe Jabiri Shekimweli amewataka wananchi na wadau wa michezo Jijini Dodoma kuiunga mkono kwa hali na mali timu ya Dodoma Jiji Footbal Club inayomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Mheshimiwa Shekimweli ameyasema hayo leo alasiri wakati akipokea basi jipya litakalokuwa likitumiwa na timu ya Dodoma Jiji FC, hafla iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri, ambapo Mkuu huyo wa Wilaya ametoa rai kwa wanaDodoma kuwa mstari wa mbele kuipigania timu hiyo ambayo hadi sasa kwenye msimamo wa ligi ya NBC ipo katika nafasi ya tatu nyuma ya vinara wa ligi hiyo wakongwe Yanga na Simba za Jijini Dar es Salaam. 

"Timu hii ndiyo utambulisho wetu, kila mwana Dodoma lazima ajivunie uwepo wake na hivyo kuisaidia timu yetu iendelee kufanya vizuri.

Tuna timu bora, nzuri na tishio ambayo Dodoma tukiendelea kuiunga mkono itafika mbali na kufanya vizuri katika michuano ya ligi kuu ya NBC." alimesema Shekimweli.

Naye Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde wakati akimkaribisha mgeni rasmi amewashukuru watu wote walioshiriki kwenye mchakato wa upatikanaji wa basi hilo jipya la timu na kuahidi kuendelea kutafuta wadau wengi zaidi wa Dodoma na hata nje ya Dodoma ili kuisaidia timu, aliongeza kuwa hivi sasa wapo kwenye mazungumzo na kampuni mbili kubwa moja ya maji na ingine ya vifaa vya ujenzi ili kuona kama wanaweza kupata ufadhili kutoka kwao.

Akishukuru kwa niaba ya wachezaji, nahodha wa timu Mbwana Kibacha amewashukuru viongozi wa timu na wadau wengine kwa kutimiza ahadi yao ya kuwatafutia usafiri mzuri na ameahidi kwa niaba ya wachezaji kwamba watajitahidi kuhakikisha wanafanya vizuri katika michezo inayofuata ili kuendelea kulinda heshima ya Dodoma.

Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabiri Shekimweli akikata utepe katika hafla ya mapokezi ya basi jipya la timu ya Dodoma Jiji FC. Kushoto ni Mstahiki Meya wa Jiji, Prof. Davis Mwamfupe, wa nne kutoka kushoto ni Mbunge wa Dodoma mjini Mhe. Anthony Mavunde pamoja na vviongozi wengine mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.