• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wanamichezo unganeni na serikali kudhibiti mmomonyoko wa maadili- Waziri Dkt. Gwajima

Imewekwa tarehe: April 10th, 2023

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt. Dorothy Gwajima amewaomba wanamichezo kupitia Vilabu vyao kuungana na Serikali kupaza sauti ya kuhamasisha wananchi kudhibiti mmomonyoko wa maadili unaochochea vitendo vya ukatili wa kijinsia na kwa watoto.

Waziri Dkt. Gwajima ametoa wito huo alipokutana na rais wa Klabu ya Yanga Mhandisi Hersi Said  jijini Dar es salaam ikiwa na mwanzo wa ziara yake ya kutembelea vilabu vya Michezo kuhamasisha kada hiyo kushiriki kampeni ya ZIFIUKUKI (Zijue Fursa, Imarisha Uchumi, Kataa Ukatili, Kazi lendelee)

Akiilezea kampeni hiyo Dkt. Gwajima amesema lengo ni kuelimisha jamii kuhusu fursa mbalimbali za uwezeshaji kiuchumi eneo ambalo wananchi wengi wanaonekana kutofahamu husuan ni wa viijijini kwakuwa mifumo ya taarifa haiwafikii.

Waziri Dkt. Gwajima amesema Ajenda ya kulinda maadili ya jamii ni Jambo mtambuka ndani ya taifa, hivyo ni muhimu sekta zote ikiwemo ya vilabu vya Mipira, na Sanaa mbalimbali kupitia majukwaa yao pamoja na mitandao ya kijamii kulikemea kwa nguvu zote.

Ameongeza kwamba, Wizara inaimarisha ushirikiano na jamii ili ajenda hizo zimilikiwe na  jamii yenyewe.

Tamasha la hilo ni muendelezo wa Kampeni ya Wizara ya Twende Pamoja Ukatili Tanzania sasa Basi iliyozinduliwa mwaka 2018 kwa sura ya Matamasha ya kuelimisha Jamii kuhusu fursa za Kiuchumi sambamba na kuhamasisha jamii kudhibiti mmomonyoko wa maadili na kupinga ukatili wa kijinsia.

Tamasha hilo litakalo ifikia mikoa yotelitazinduliwa 27 Aprili 2023 Viwanja vya Leaders Jijini Dar es Salaam.

Kwa upande wake rais wa Yanga Mhandisi Hersi Said, ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii kwa kuona umuhimu wa kushirikisha Klabu za Michezo na kwamba, ajenda hiyo ni muhimu na Klabu ya Soka ya Yanga ipo tayari kutoa ushirikiano wote kuhakikisha maadili ya jamii ya kitanzania yanaimarika na wananchi wote wanatambua fursa za kiuchumi na kunufaika ili kuunga mkono juhudi za Serikali.

Katika hatua nyingine, uongozi wa hajismanara TV ambayo ina ushirikiano wa karibu na Klabu ya Soka ya Yanga imeunga mkono ajenda hiyo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.