• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wasichana Dodoma kupewa elimu ya lishe bora

Imewekwa tarehe: February 3rd, 2020

Taasisi isiyo ya kiserikali ya Tanzania Girl Guide Association imezindua mpango wa kuhamasisha Lishe kwa vijana wa kike wenye umri wa kuanzia miaka Kumi mpaka 25 Jijini Dodoma, baada ya tafiti kuonesha kuwa vijana wa umri huo wamekua katika hatari ya kutokua na Lishe bora pamoja na upungufu wa damu.

Akizungumza mbele ya kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dodoma,  kiongozi wa Utetezi Lishe wa taasisi hiyo Yusta Kobelo amesema kazi yao kubwa ni kutembelea katika shule za msingi, sekondari pamoja na vyuo ili kutoa elimu ya jinsi gani vijana hao wanaweza kuboresha Afya katika mazingira yao ikiwa ni pamoja na aina ya vyakula, mboga pamoja na matunda.

Kobelo alisema kuwa ndani ya mpango huo wana kampeni inayoitwa Sahani ya Upinde wa Mvua (Rainbow Plate) ambayo lengo lake kubwa ni kuhakikisha kwenye kila sahani anayoishika mtoto wa kike kwa ajili ya chakula iwe na Protini, Vitamini pamoja na Wanga hata kwa uchache ili kutengeneza jamii yenye afya iliyoimarika.

“Imeonekana Wasichana wa sasa hivi wanapenda kuwa na mwili mdogo, wanapenda 'diet' lakini hawajui nini wale nini waache, utakuta msichana anatumia chips kidogo au keki na soda alafu usiku hali kabisa, tunajaribu kuwashawishi kwamba kula ugali na dagaa kwa kiasi kidogo unaweza 'uka-maintain' afya yako, kwa sababu katika vyakula kama hivi kuna virutubisho ambayo vikizidi vinaleta uzito uliozidi na vikipungua vinaleta utapiamlo, kwa hiyo tunatamani wasichana wajifunze mengi kuhusiana na lishe bora” aliongeza Kobelo.

Akizungumzia changamoto walizonazo alisema kubwa ni tatizo la kutokuwa na ofisi Jijini hapa hivyo alimuomba Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuwasaidia kutatuza changamoto hiyo ambapo ikitatuliwa itawasaidia wao kupata nafasi ya kuzungumza na wasichana katika hali ya usiri kwani wapo wenye matatizo ambayo hawawezi kuyazungumza hadharani lakini wakiwa na ofisi itawasaidia kuwa karibu nao zaidi.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.